Mnyama Hatari
JF-Expert Member
- Apr 10, 2012
- 335
- 82
Ulichokisema ndicho nilichosema jana, hadi nikagive up; naona MH, ameona akutolee mfano wewe! LOL
Utakuwa umenikosea illa kosa lako kwangu siyo kubwa kama la mke wangu ambaye alikula kiapo cha kuwa mwaminifu kwangu hadi kifo. Kosa lako ni la kimaadili ila kosa la mke wangu ni la kuvunja kiapo/nadhiri.. Hayo makosa hayana uzito sawa hata kidogo!
Halafu kwenye hili tatizo, huyo dada hana obligation yoyote ya kutunza uaminifu wa mume kwa mke wake. Ila ona obligation kama mwanajamii mwingine la kutomtendea vibaya mwenye mume!
Babu DC!!
DC unajua nini, some of us (cheaters hasa wanaume) huwa hatutaki kukubali na kuchukua kosa lote, lazima tutafute wa kumgaia lawama!
Au tutankaumu, wife kwa kuwa mchoyo/mchovu etc,
Au tatamlaumu huyo other woman kuwa alinitega (aliniona mimi si rijali etc)
So kuchukua mzigo wote wa makosa inakuwa ngumu, ref Adam alivyooulizwa na Mungu; akasema ni huyo mwanamke uliyenipa ..... (kipipi, nimejaa mistari.LOL)
Wanasema ukikosa wa kumblame, blame hata weather!
Ulichokisema ndicho nilichosema jana, hadi nikagive up; naona MH, ameona akutolee mfano wewe! LOL
Huyo dada wa nje hatakiwi kubebeshwa lawama za mimi kukosa uaminifu kwa mke wangu...Alaumiwe kwa kosa la uasherati tena na mume wa mtu...Hana wajibu wa kutunza viapo vya ndoa yetu!
Babu DC!!
Sasa kuna wengine watakuambia eti huyo dada hastahili kabisa lawama! SMH.
Ndiyo maana jana baada ya kusikia hivyo nikazungumzia maadili halafu nikaulizwa eti maadil yanakujaje. Sasa mtu kutembea kwa makusudi na mke ama mume wa mtu huyo mtu ana maadili yanayokubalika na jamii kweli?
Wewe mwenyewe babu umesema mtu huyo anastahili lawama kwa kufanya uasherati na mume wa mtu. Kwa hiyo hata wewe unaona hilo tendo si sawa. Au nimekosea kuelewa ulichoandika?
Mnyama Hatari,
Kwa msimamo wangu, vyote uzinzi na uasherati ni makosa na wanaotenda hayo mambo hawawezi kukwepa lawama. Tofauti ni levels na uzito wa lawama!!
Babu DC!!
MH
Nakubaliana nawe uwezo wangu wakujieleza, hauwezi kumfikia DC!
Lakini, NEMO alifafanua vizuri sana (DC, angalia the first 2 pages za Uzi ule wa Boflo wanaume wote wanacheat); lakini ulimjibu and l quote "Nonsense".
Nilicho learn na samahani unaweza kuwa umbumbu wangu pia, Nemo ni She, l am She and DC is a He. Na kwa mtu ambaye anataka kumpa lawama mwanamke wa nje kwa kosa la kumcheat mkewe; ni kawaida tu kama theluji kipindi cha Xmas huko Marekani Kaskazini na Ulaya!
Mnyama Hatari,
Kwa msimamo wangu, vyote uzinzi na uasherati ni makosa na wanaotenda hayo mambo hawawezi kukwepa lawama. Tofauti ni levels na uzito wa lawama!!
Babu DC!!
Ni sawa na mtuhumiwa na akomplesi wake?
Ni sawa na mtuhumiwa na akomplesi wake?
Ndio maana ukaitwa Babu (full mabusara).
Usiku mwema DC na Mnyama Hatari!
Adhabu za mtuhumiwa na akomplisi huwa ziko sawa?
Hapana haviko sawa..,
unaweza kucheat bila kuzini..., (kumpa mtu kitu ambacho kwa kawaida its meant only to be given to your partner, e.g. romance, kisses n.k. )...
Na unaweza Kuzini bila kucheat... (Kuzini mara nyingi inahusika na dini, kwamba huwezi kufanya tendo la ndoa na mtu yoyote bila kuwa kwenye ndoa)
Hivyo basi ni mambo mawili tofauti ambayo moja linaweza likatendeka bila lingine
Ni sawa na mtuhumiwa na akomplesi wake?
Kwa watu wanaonfanya uzinzi na makahaba, hao makahaba wanakuwa sehemu ya makosa??
Babu DC!!
mmmhhh kwanini mtu akizini anasema amecheat?