Swali: Hadhi ya mtu mfu

snochet

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2011
Posts
1,433
Reaction score
1,176
Je kwenye kifo,ni watu gani wanastahili kuitwa hayati na sio marehemu,,,wanaangalia vigezo gani? Namna huyo mhusika alikufa nayo inazingatiwa katika kuitwa hayati au marehemu? Kama vile labda kauawa ama kafariki mwenyewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…