Wanafalsafa tunaheshimu wanofikiri vizuri, wanaofikiri sawa sawa. Kwa swali hili kweli inabidi nikubali pamoja na Falsafa yangu, ndugu yangu Kimagege Hongera, umetufikirisha. Kwanini Kesi ya Dk Ulimboka sio ya Kigaidi? mbona matendo yanayotajwa katika kesi hiyo yanafanana sana na kesi inayotajwa kuwa ni ya ugaidi? Nimeipenda hii!