Swali: Hivi ni kwanini Tanzania hakuna Profesa au Daktari (Phd holder) ambaye ni mkulima?

Swali: Hivi ni kwanini Tanzania hakuna Profesa au Daktari (Phd holder) ambaye ni mkulima?

Mkyamise

JF-Expert Member
Joined
Apr 14, 2014
Posts
482
Reaction score
614
Ni kwanini nji yetu haina hao watu? Wawe na mashamba ya kupigiwa mfano? Je nji yetu haina watu wenye viwango hivyo waliosomea kilimo na wanaishi maisha yao yote kwa kulima?
 
Wanalima na kuvuna kwenye makaratasi na kumotiveiti.
 
Ni kwanini nji yetu haina hao watu? Wawe na mashamba ya kupigiwa mfano? Je nji yetu haina watu wenye viwango hivyo waliosomea kilimo?
PhD wengi wanatoka familia za kimasikini hawana mitaji kuanzisha kilomo kikubwa.
 
Ni kwanini nji yetu haina hao watu? Wawe na mashamba ya kupigiwa mfano? Je nji yetu haina watu wenye viwango hivyo waliosomea kilimo?
PhD wengi wanatoka familia za kimasikini hawana mitaji kuanzisha kilimo kikubwa.
 
Mimi hapa ni mkulima msomi,kwani unasemaje?
Wewe huenda ni wale wanaoulizwa kazi yako ni ipi? Unajibu mimi ni mkulima tu! Yaani una ile mentality ya kushindwa kusema kuwa wewe ni jobless
 
Hivi jina langu halitambuliki kias hicho?
 
Wewe huenda ni wale wanaoulizwa kazi yako ni ipi? Unajibu mimi ni mkulima tu! Yaani una ile mentality ya kushindwa kusema kuwa wewe ni jobless
Jobless ndio cheo gani hicho?,kwa taarifa yako wakulima wakubwa nchi hii wengi ni wasomi na vyeo wanavyo,kalagabaho.
 
Back
Top Bottom