Salaam, Shalom!!
Haya pia ni madhara ya kubaki na chama kimoja kikuu cha upinzani.
Tukijiuliza jwa sasa, CHADEMA bado kina sifa ya kuitwa chama kikuu cha upinzani, wangapi watakubaliana na HOJA hii ikiwa RUSHWA inayotajwa na viongozi ndani ya chama?
Ok, Chadema wanashawishiwa kuhongwa, huyu mtu au kikundi cha watu toka chama tawala kinachojiamini kuhonga wanasiasa ni akina nani?
Ikiwa CHADEMA na CCM ndio vyama vikubwa kwa sasa na vinatoa harufu ya RUSHWA, je Kuna haja ya Kupata chama kingine cha tatu tukifanye kuwa chama kikuu cha upinzani?
Na chama hicho cha tatu ni kipi na nani wa kukisajili na kukijenga hadi kufikia hatua iliyofikiwa na CHADEMA?
Ama kweli, mbobezi wa kupiga mbizi, hufia pwani!!
Mungu ibariki CHADEMA iweze kuondoa harufu ya RUSHWA.
MUNGU ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿
Karibuni.
PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Tundu Lissu: Kuna Rushwa inatuvuruga ndani ya CHADEMA
Haya pia ni madhara ya kubaki na chama kimoja kikuu cha upinzani.
Tukijiuliza jwa sasa, CHADEMA bado kina sifa ya kuitwa chama kikuu cha upinzani, wangapi watakubaliana na HOJA hii ikiwa RUSHWA inayotajwa na viongozi ndani ya chama?
Ok, Chadema wanashawishiwa kuhongwa, huyu mtu au kikundi cha watu toka chama tawala kinachojiamini kuhonga wanasiasa ni akina nani?
Ikiwa CHADEMA na CCM ndio vyama vikubwa kwa sasa na vinatoa harufu ya RUSHWA, je Kuna haja ya Kupata chama kingine cha tatu tukifanye kuwa chama kikuu cha upinzani?
Na chama hicho cha tatu ni kipi na nani wa kukisajili na kukijenga hadi kufikia hatua iliyofikiwa na CHADEMA?
Ama kweli, mbobezi wa kupiga mbizi, hufia pwani!!
Mungu ibariki CHADEMA iweze kuondoa harufu ya RUSHWA.
MUNGU ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿
Karibuni.
PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Tundu Lissu: Kuna Rushwa inatuvuruga ndani ya CHADEMA