Swali Jamani ....

Swali Jamani ....

iamwangdamin

JF-Expert Member
Joined
Feb 25, 2015
Posts
864
Reaction score
1,798
Jamani washikaji nina swali nataka niulize humu Jamii forum, eti Umetoka kwenye mizunguko yako ya kila siku ya kutafuta mkate , wakati uko njiani kurudi maskani , unakutana na tukio la ajabu. Tukio hilo ni mama yako mzazi anakabwa na vijana wa kihuni wana silaha za jadi kwa mfano , vijana hawa wamemzidi mama nguvu na wewe pia unaona kabisa huwezi kuwadhibiti kwa haraka haraka , fikra zinakujia kuwa ukimbie nyumbani ambapo ni sehemu ya dakika moja mathalani kwenda na kurudi hapo , unakimbilia nyumbani kufata sime lako unaingia na mlango kwa nguvu unakutana na tukio la mke wako anachezeshewa Dudu la Yuyu na mpango wa kando , tuongeeni kwa ukweli na kwa fikra za kibinadamu , je kwa kawaida unahisi utaanza kufanya nini ? Je kumdhibiti mwizi wako au utarudi kwa mama kumsaidia ? Wengi wetu najua mtaanza kupigana na msela anayekugongea , hilo halina mashaka , mapenzi bwana ... Lets Go ...
 
Ni kweli kabisa . Lakn washikaj huwa wana wivu na wake zao balaa, lazima amlambe kwanza jamaa hata sime la mgongo hawez muacha mchizi atambae hiv hiv hata bila kumtia sunnah ya milele
Mamaa is everything
 
Ni kweli kabisa . Lakn washikaj huwa wana wivu na wake zao balaa, lazima amlambe kwanza jamaa hata sime la mgongo hawez muacha mchizi atambae hiv hiv hata bila kumtia sunnah ya milele
[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Umuache mama sababu ya mke ambaye yupo anaenjoy?
Weeeee sasa kwanin washikaj huwa wanapigana na wagoni wao , huwa hawamind wake zao wanaogawa nje . Nahs mapenz yana nguvu sana , imagine mwanamke au mwanaume anakubadilisha dini , kitu ambacho wazaz wamekukabidhi hahahaha . Kiafrika afrika dini unarithi na ndio nguzo na imani nzito kwenye maisha yako ,
 
Weeeee sasa kwanin washikaj huwa wanapigana na wagoni wao , huwa hawamind wake zao wanaogawa nje . Nahs mapenz yana nguvu sana , imagine mwanamke au mwanaume anakubadilisha dini , kitu ambacho wazaz wamekukabidhi hahahaha . Kiafrika afrika dini unarithi na ndio nguzo na imani nzito kwenye maisha yako ,
Ila sio kwa mfano huu wa hii mada mkuu
 
Inakuaje mtu anaoa alafu mke anaanza kumwambia mama yako mchawi mfukuze kwenye mji wetu . Unakuta mwanaume kweli anaamini mama yake ni mchawi . Dah
Amen!
Huwezi kufananisha mzazi na mpenzi hata kidogo
 
Inakuaje mtu anaoa alafu mke anaanza kumwambia mama yako mchawi mfukuze kwenye mji wetu . Unakuta mwanaume kweli anaamini mama yake ni mchawi . Dah

Huyo anakuwa kashikwa akili na mke...huwezi kuwa na akili timamu ukaamini mtu aliyekulea tangu unazaliwa over mtu uliyekutana nae miaka michache tu
 
Back
Top Bottom