Jumanne Mkota
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 2,987
- 1,757
Salaam wadau Nauliza kwa nia njema kabisa. Haya mambo ya polisi kukamata kamata viongozi wa chedema tena kwa njia dhalili hayawezi kukomeshwa? Na kama inawezekana ni vipi viongozi wangu wa Chadema wasikomeshe udhalimu huu? Nawasilisha kwa michango chanya cc. wanasheria wote members humu