Jumanne Mkota
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 2,987
- 1,757
Ndio maana na viongozi wa CCM huwa wanafanya makusudi ili wapate umaarufu wa Kisiasa kama vile 1. CCM kuzidisha muda katika mkutano wao pale Jangwani hadi saa 12.20 lakini kwao ilikuwa halali. 2. Aden Rage kuonyesha Bastora Hadharani wakati wa kampeni harafu akahukumiwa kulipa faini pekee kinyume na sheria 3. Ukiwaona Ditopile Mzuzuri (R.I.P) kuuwa kwa makusudi kwa bastora na kuwa nje kwa dhamana na kutohukumiwa, lakini Mungua akaona dunia haikutenda haki yeye kwa mapenzi yake akamuua 4. Andrew Chenge kuwagonga kwa makusudi wale mabinti na kuwaua na mwisho wa siku akahukumiwa kulipa faini Nayaandika haya kwa sababu akili yako inaonyesha wanaofanya makosa ni viongozi wa CHADEMA pekee huku wale waliopo CCM wao sheria wanzivunja na kuhukumiwa kinyume na haki ya sheria inavyotakiwa kuhukumuHawawezi. Wamevunja sheria makusudi ili wapate umaarufu wa kisiasa...
Mkuu, kitendo cha viongozi wa chadema kwa siku za karibuni kukamatwa hovyo knatokana na viongozi wenyewe kuvunja sheria kwa makusudi ili waonekane mbele ya jamii kuwa wanaonewaSalaam wadau Nauliza kwa nia njema kabisa. Haya mambo ya polisi kukamata kamata viongozi wa chedema tena kwa njia dhalili hayawezi kukomeshwa? Na kama inawezekana ni vipi viongozi wangu wa Chadema wasikomeshe udhalimu huu? Nawasilisha kwa michango chanya cc. wanasheria wote members humu
Kamwe haki haiombwi, inapiganiwa!!Hivi mmeshawahi kusikia hata moja Zitto kakamatwa na polisi?
Siasa za kistaarabu ni kipaji, sio kila mtu anaziweza.
Hawawezi.
Wamevunja sheria makusudi ili wapate umaarufu wa kisiasa...
Hivi mmeshawahi kusikia hata moja Zitto kakamatwa na polisi?
Siasa za kistaarabu ni kipaji, sio kila mtu anaziweza.
Hawawezi.
Wamevunja sheria makusudi ili wapate umaarufu wa kisiasa...
hawawezi.
Wamevunja sheria makusudi ili wapate umaarufu wa kisiasa...
Hivi mmeshawahi kusikia hata moja Zitto kakamatwa na polisi?
Siasa za kistaarabu ni kipaji, sio kila mtu anaziweza.
Salaam wadau Nauliza kwa nia njema kabisa. Haya mambo ya polisi kukamata kamata viongozi wa chedema tena kwa njia dhalili hayawezi kukomeshwa? Na kama inawezekana ni vipi viongozi wangu wa Chadema wasikomeshe udhalimu huu? Nawasilisha kwa michango chanya cc. wanasheria wote members humu