Swali: Je makundi ya damu (blood groups) yanaathiri namna gani uzazi kwa mwanamke au mwanaume?

Ighombe

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2014
Posts
1,181
Reaction score
675
Wakuu habari za leo?

Naomba kuuliza endapo kundi la damu linaweza kusababisha mwanamke au mwanamme kuwa mgumba. Naamini wataalam hapa jukwaani watasaidia kutoa majibu sahihi.

Samahani kama unaona huna msaada unaweza kuupita huu uzi, badala ya kutoa kejeli.

Karibuni kwa mjadala[emoji120] .
 
Mmmhh kuhusu ugumba sina uhakika......na sidhani kama ni kweli...ila utofauti wa Rh factor kwa me na ke kuna tatzo katika upatikanaji wa watoto
 
Magroup hayasababish ugumba ila tu RH group ndo inasababisha haemolytic disease of new born HDN Nayo kma haujafahama kama una group hlo ila ila kuna injection ya hyo HDN...

ADDITION ALLOWED
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…