Swali:Je naweza tumia security fund(NSSF) kama dhamana ya mkopo bank?

LuCKNOVICH

Senior Member
Joined
Jan 22, 2011
Posts
104
Reaction score
11
Wana JF.
Nina fanya kazi na ninahitaji mkopo wa bank,je naweza tumia contribution yangu iliyopo NSSF kama dhamani ya mkopo kwa bank zetu.
Kwa wenye ufahamu naoma mnijuze.

Karibuni
 
Wana JF.
Nina fanya kazi na ninahitaji mkopo wa bank,je naweza tumia contribution yangu iliyopo NSSF kama dhamani ya mkopo kwa bank zetu.
Kwa wenye ufahamu naoma mnijuze.

Karibuni

Hao watu tunawasuburi kwenye katiba mpya maana tushawachoka,hela zetu mamilioni yapo tu kwao wanayafanyia biashara na kukopesha mafisadi tu!!
 
Wana JF.
Nina fanya kazi na ninahitaji mkopo wa bank,je naweza tumia contribution yangu iliyopo NSSF kama dhamani ya mkopo kwa bank zetu.
Kwa wenye ufahamu naoma mnijuze.

Karibuni

Hicho ni kilio cha wengi mkuu, hitaji hilo lipo katika mashirika mengi ya umma, hasa TRL iliyo kuwa TRC.
Iliyo binafsishwa kwa kampuni ya kitaperi ya RITES na sasa imerudishwa kwa selikari. wafanyakazi wa shirika
hili hawajawahi kuwa na dhamana katika taasisi yoyote ya fedha, hawakopesheki popote. Hivyo mwenye
ufahamu kuhusu hili atufahamishe tafadhari.
 
nishawahi kuwauliza swali ka hilo wakanijibu kwa sasa hwafanyi hiyo huduma lakini wapo kwenye hatua za kufanya hilo liwezekane,hii itasaidia sana wakuu...
 
Kama kuna wezi na Mafisadi wa kuburuta mahakamani ni hawa NSSF na wenzio wa mifuko ya jamii,iweje mfanyabiashara asiyechangia hata sh kumi akopeshwe hela za wafanyakazi na wachangiaji wenyewe hawakopeshwi? hawafaidiki na kitu chochote na hiyo michango yao
 
Baada ya Serikali kupitisha sheria namba 8 ya 2008 inayothibiti na kusimamia Mifuko ya Hifadhi ya Jamii, na baada ya Mamlaka yenyewe kuanzishwa, kitakachofuata ni Regulator kuweka utaratibu wa kumwezesha mwanachama kutumia sehemu ya michango yake kama collateral ya kukopa benki. Kama ni mwanachama wa PSPF, PPF, LAPF nk utaweza kukopa benki. Tumpe Regulator muda.

Wana JF.
Nina fanya kazi na ninahitaji mkopo wa bank,je naweza tumia contribution yangu iliyopo NSSF kama dhamani ya mkopo kwa bank zetu.
Kwa wenye ufahamu naoma mnijuze.

Karibuni
 
Kwa kweli hili litakuwa jambo la maana sana!!!Hiyo sheria ya Miaka 60 haifai!!!
 

Sabayi acha tu,yani naomba mchakato wa kukusanya maoni uanze mapema hawa jamaa wa mifuko ya jamii(hasa hawa wa***** Nssf) tuwaadabishe lazima wawakopeshe wanachama wao au fedha za wanachama zitumike kama dhamana ktk mabenk tuweze kukopa otherwise lije shirika jingine mbadala litaloweza kutoa hyo huduma.
 

Mda gani huo tangia 2008 mpaka leo bado huo mda hauwatoshi?
 
0756517588. Nitafute ndugu nikupe mkopo toka international commercial bank. Nicheki for more details.
 
Asanteni wakuu kwa michango yenu,hadi hapo nimeshapata mwanga,ila nikipata time tapitia office zao then tawajulisha.
Big up JF
 
Marhaba watu tunataka mikopo, kwanini usiweke wazi masharti ya mikopo hapo International Commercial Bank kuliko mtu apoteze muda kufuatilia at the end unajua huwezi kopesheka? weka details hapa please
 
Marhaba watu tunataka mikopo, kwanini usiweke wazi masharti ya mikopo hapo International Commercial Bank kuliko mtu apoteze muda kufuatilia at the end unajua huwezi kopesheka? weka details hapa please

mikopo yetu kwa sasa, inaanzia mil 100 na kuendelea, sifa za mwombaji kwanza awe na financial statements and all the legal documents za kampuni or biashara yako. The rest ni mambo madogo madogo yanayowezekana.
 
Yes excellent mr! Yu what? Always the problem is not to cut a cake but the proplem is how to distribut a cake! There fore a very attractive financial statement such trading,profit and loss A/C and balance sheet must be cearly presented so as to facilitate financial jugment and decision from your business. Then management or team work may decied how much they might give you as loan contract!. Plz i would like to advice my fellow tanzanian in our daily business we must keep records intems of financial statement that will enble us to gate easy loan at convinience time!:/.
 
Huu ndio udhaifu wa NSSF,
Hivi wakilipa hua wana-consider "Time Value for Money"??
Maana ni wizi kunilipa kama ilivyo laki 2 uliyonikata miaka 10 iliyopita
 
Nikisikia hivi, moyo unauma.
Hivi laki 3 zangu baada ya miaka 20 si itakuwa sawa na sh.1
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…