Hahah!!!Haa haa embu tupe story kidogo mkuu
Hahahahhaha uwiii katika vitu sipendi ni mwanaume anayekoromaaaKuna kaka alikua crush wangu kama miezi sita hivii. Tukaanza kubebishana. Siku akaniambia nikalale kwake. Usiku nimeshtuka nikajua tinga tinga limekuja kubomoa nyumba. Haki nusu nikimbilie dirishani akili kunijia ni ghorofa nikatulia kwanza. Kumbe ni yule kaka ndo anakoroma. Kuanzia saa kumi na moja nilikaa macho nasubiri kukuche nirudi kwangu. Mkaka mzuri ana maisha mazuri mkubwa ila hana mke. Nahisi wanawake wanashindwa kuhimili kule kukoroma.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Nlilala na demu huku mfukoni nna laki tano, nlitaman kukuche mapema maana nilihisi naweza pitiwa na usingizi akaniliza.
Siku hiyo niligeuka Mlinzi
Akufanya yake???[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ya kusimuliwa au ndie muhuskaJamani haya maisha nimepitia vituko vya kukata na shoka.
Mwenzenu kuna siku nililala na mwanaume alikula ugali na makange ya kuku yana pilipili akaongeza na pilipili ya kukata pembeni pilipili mbuzi/kichaaa.
Mwanaume anapenda pilipili kama mhindi.
Wakati wa kugegedana akanipapasa na mikono kwenye harage jaman alafu tukafanya tendo la ndoa kama akaikoroga kuliwaka motoo kama nimechochea jiko la kuni NILITAMANI PAKUCHE HARAKA NIRUDI NYUMBANI MAANA HUYU FRANK HAKUAMINI KAMA PILIPILI IMEKOLEA YANI NILIKOMA NILIHISI MOTO UMEWASHWA KUNAKO.
Demiss Malaika.
IlikuwajrNiliona asubuhi haifiki nikapiga simu zima moto walipokuja nikaondoka nao usinikumbushe usinikumbushe