Swali: Je, umeshawahi kumkimbia mtu baada ya kumkuta ndivyo sivyo? (with updates)

Aiseee glory robson mm nilikuwa nampenda yule mtangazaji wa kipindi cha Asubuhi sjui kina kipengele cha Tano za motooo uwiiii anasaut nzur unipe jina lake nimgoogle
Nataka nimjue aliengiza sauti ya roshini kwenye tamthilia ya jamai raj....yule dada anasauti balaaaa
 
Khaaaa una dhambi weyeeee [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Hahahaaa. Sitaki ije kunikuta hiyo aisee sababu ni moja kati ya vitu ambavyo vinafadhaisha aisee hasa kwa yule anayekuwa amekimbiwa. Teh teh teh.

Sababu anaweza baki na maswali yasiyo na majibu. Hahahaaaa.
Mtani tukutane trh 29 mwezi huu....

Ila ukioniona usije nikimbia na ukibahatika kuniona chonde chonde naomba usije kunifungulia uzi humu ndani......

[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Uwiiiiiiiiio jaman nakufa kwa kucheka mkuuu kwann lakin niljuanpeke yangu tu kumbe tupo wengiii
 
naona huu uzi umejaa ma HB na WAREMBO, kila anayekoment aliishia kumblock mhusika,,, wekeni picha tuwaoneee,, mana sio kwa kujisifia uko, [emoji23] [emoji16]
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]sawa tunaweka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…