Nataka nimjue aliengiza sauti ya roshini kwenye tamthilia ya jamai raj....yule dada anasauti balaaaaAiseee glory robson mm nilikuwa nampenda yule mtangazaji wa kipindi cha Asubuhi sjui kina kipengele cha Tano za motooo uwiiii anasaut nzur unipe jina lake nimgoogle
Khaaaa una dhambi weyeeee [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Nakumbuka nilikua naishi vikindu... Kuna kaka mmoja si akapotea namba bana basi tukaanza kuwasiliana...... Mawasiliano yakazidi mpaka akanitongoza..... Anaongea vizuri hatari anaongea kingereza hivi swaga kibaooo nkaona yes huyu mwanaume...... Tukapanga tuonane mbagala stand ya tandika....... Nkawahi kufika pale.... Nimekaa chini naona mtu anakuja huku anapiga simu kibaya alishaniona akaja kukaa nilipokaa....jamani kile Kitu tu lol....... Yaaani ana michunusi kama majipuuu sura nzima mfupi huyohuyo... Kavaa suruwali na koti kapiga mkanda nje Madai yake amevaa suti hahahahaha .....alivoniongelesha nkamwambia nawahi kipindi tutachati..... Niliinuka kwa speed ya chopa akawa ananipigia simu y nimeondoka sijui nini nikamwambia bro you are not my type.... Nikamlima block
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hakika kwa maneno haya umeshawah kumsimamisha mtu.Unamwambia asimame pale kwenye picha ya nyerere wewe unajificha kule kwenye miti unaaanza kumchoraaaa
Mtaa wa pili wananuuna[emoji8][emoji445][emoji8][emoji445][emoji445][emoji445][emoji445][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji182]
Nakupenda mpaka naumwaaaa
Naomba basi tuonane leo mida ya baadae kuanzia Saa tisa najiandaa kuachiwa hapa..[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Mwifwaa ukinikimbia nakwambia utanikomaaaa
Musukuma?Kuna muheshimiwa fulan jina kapun hana smart anatumia nokia tochi
Mtani tukutane trh 29 mwezi huu....Hahahaaa. Sitaki ije kunikuta hiyo aisee sababu ni moja kati ya vitu ambavyo vinafadhaisha aisee hasa kwa yule anayekuwa amekimbiwa. Teh teh teh.
Sababu anaweza baki na maswali yasiyo na majibu. Hahahaaaa.
Subiri niseti rada hapa utasikilizia vishindo vya manyoya[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mtaa wa pili wananuuna
Uwiiiiiiiiio jaman nakufa kwa kucheka mkuuu kwann lakin niljuanpeke yangu tu kumbe tupo wengiiidoooohhh mi sijawahi kukimbiwa ila niliwahi kimkimbia dada mmoja hv......tumejuana kwnye mitandao bs tukapanga tuonane stend kuu mbeya......Bwana weeee........mtu mzima siku hyo nimeoga sanaaa yn jisugua visigino haswaa........nikafuta kiatu changu freeeesh kabisa.......
Yani ilikua lazma nifanye hvo mana mtoto anasema anaishi forest mpyaa bwana......
Nikajiandaa na kawallet kana kama 80 elfu hv kwa ajili ya kwenda kukaa nae maeneo flani mwanana kabisa.
Ebwana weeee......siku nikasema nikipanda daladala toka hapa kabwe mpka stend kule watanichafua.....
Mtoto wa kiume nikakodi kabajaji bwana peke yangu mpka stend.
Bs nilitangulia mm kufika huku yeye akidai ndo anapanda gar pale mkoani anashukia meta then pale anadaka gar ingine mpka stend....
Jamani yule dada anasauti nzuri mpka leo sijawahi kuona...yan ilikua tukiongea kwnye cm dk 5 tu mi tayar dushe imesimama chwaaaa....
Sasa sku hyo mara simu inaita.....""Hello my mi ndo naingia stendi hapa nimepanda gari imeandikwa nanii"""
Haaa yn kuskia hvo aisee nkasema kweli Mungu hamtupi mja wako aiseee.....Yn mtoto wa uswazi leo naenda kubeba bonge la totoooo tena la ushuani.......aaaahhh waniache....
Basi Macho yote kweny lango la stend kuangali gari inayoingia huku nikiwa na taadhari kwamba nihakikishe mim ndo niwe wa kwanza kumuona. Lakn sikuwaza kwamba akiwa m'baya nikimbie bali niliwaza yn akiwa mzuri sana kupita kias na kapendeza kias cha kwamba hatuendani basi nazama mitini mwenyewe na laini natupa.
Mara naona gari inaiingia....moyo unanidunda fasta hapo...mara imesimama...
watu wanaanza kushuka taratibu....kiukweli mpka wanaisha skuona hata mmoja wakuendana na ile sauti....nilikua nimejibana chobingo flani hv ikabidi nijisogeze kdgo karibu na gari ila kwa style flan yn kama vile na mm ni konda pale....
Mara cm yangu mfukoni inaita...bahat mbaya niliweka mlio...bs pale ikawa inaskika cm yangu tu...nikajaribu kuzuga mama mmoja akauliza"" jaman sio simu yangu inayoita"" konda akadakia "" hapana sio yako ni ya huyu broo hapa"" akionesha kidole kwangu.
Basi watu wote wakageuka kwangu macho waaaaaa......!!!
Nilivokauzu nikasema hapana haiiti ni meseji inaingia...
Sasa bhana kumbe yule dada amekaa pembeni ananichora kama ni mm au lah mana nilipoongea sauti yangu akawa ameistukia.....akapiga tena...hahahahahahaa weeeeeeee cm hyo ikaanza kuita.....sasa mimi ile kuangaza nikajikuta nimegongana macho na sura moja hiv hata nikisema ni yakiume ntakua nimewavunjia wanaume heshima.....
wanaume wazur bhana......
nisiongee sana ila yule dada nilimkaushia kabisa pale tena nikajifanya mkatisha tiketi pale kabisaa nilivopata upenyo dk 6 tu nikawa nipo gheto kwangu sebuleni nachek zangu muvi na laini nshaitupa njiani..
Na wasivyo na vifua. Ntakuta liuzi humu ntakufa[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]sawa tunawekanaona huu uzi umejaa ma HB na WAREMBO, kila anayekoment aliishia kumblock mhusika,,, wekeni picha tuwaoneee,, mana sio kwa kujisifia uko, [emoji23] [emoji16]
Mi sikucheki [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Mwandiko wako unanichekeshahahahaha,we unanicheka si bure ,mtu mzima kakubali matokeo
aaahh weee.....yn nlivoona ile sura ubongo wangu ukaninong'oneza tu like "" oya kijana hapa ni kuchanganya miguu tu"Uwiiiiiiiiio jaman nakufa kwa kucheka mkuuu kwann lakin niljuanpeke yangu tu kumbe tupo wengiii