Vituko vipo vingi sana [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Dunia ina vituko hii
Duu kumbukizi kweli [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Kumbukizi
Hahahaaa kimbotela ni yale mashimo ya wachimba dhahabu [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Kimbota ndo nn?
Haaa haaaa secondhand hiyo [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Used car
Acha kabisaHiyo ya kisigino kugusaa kisogooo umenikumbusha riadhaaaaaaaa
Mambo safi, habari ya kwako!Mambooooo mamy
Jaribu kuwatongoza utapata majibuu mkuuuNipo WhatsApp group uko kuna mabint wanasaut tamu lain kama hawali mboga za majan aisee yan saut tu mwil una vibrate
Lakn nikikumbuka mikasa ya huku wengi mlipotea wa hizo saut naishia kucheka tu[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Sana ukikosea tu unapoteaSafar yenye vitukooo na vitimbwiiii
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]mbio zake mfano hakunaaaaaaa[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] unazani uongo kukutana na usicho tarajia, ubongo na macho vikiungana kinatoka kitu
safi sasa ghafula paa ni mbio hizo Mr
Hahaaaa haaa mbio hizo hatareee majibu ya mkato sahizi najishangaa tuAiseee inaonekana wewe ulikimbia sana tutafutanee tuchekeeee mkuuu
Hakuna kugeuka nyuma[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]mbio zake mfano hakunaaaaaaa
Mimi nilkuwa natembeaaa na nauli ya emergence alafu nawekaaa kwenye suruali nabeba na sm tu au kipochi kidogooo ambacho ninakuwa nacho muda woteeeee inakuwa rahisi kukimbiaaaaa[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] ni shida, Kama unaenda kutana na mtu asiyejulikana lazima uwe na nauli ya
kurudia nyumbani [emoji16][emoji16]hizo mbio je huna nauli unaumbuka
Unakuta mtu umeitwa sehemu ukifika tu unaanza kufakamia mwishowe wanakuvua viatu mie nilikuwa nacheka balaa unakulaje tu bila kujiongeza akili[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Mimi nilkuwa natembeaaa na nauli ya emergence alafu nawekaaa kwenye suruali nabeba na sm tu au kipochi kidogooo ambacho ninakuwa nacho muda woteeeee inakuwa rahisi kukimbiaaaaa