Swali: Je, umeshawahi kumkimbia mtu baada ya kumkuta ndivyo sivyo? (with updates)

Nipo WhatsApp group uko kuna mabint wanasaut tamu lain kama hawali mboga za majan aisee yan saut tu mwil una vibrate
Lakn nikikumbuka mikasa ya huku wengi mlipotea wa hizo saut naishia kucheka tu[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Jaribu kuwatongoza utapata majibuu mkuuu
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] unazani uongo kukutana na usicho tarajia, ubongo na macho vikiungana kinatoka kitu
safi sasa ghafula paa ni mbio hizo Mr
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]mbio zake mfano hakunaaaaaaa
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] ni shida, Kama unaenda kutana na mtu asiyejulikana lazima uwe na nauli ya
kurudia nyumbani [emoji16][emoji16]hizo mbio je huna nauli unaumbuka
Mimi nilkuwa natembeaaa na nauli ya emergence alafu nawekaaa kwenye suruali nabeba na sm tu au kipochi kidogooo ambacho ninakuwa nacho muda woteeeee inakuwa rahisi kukimbiaaaaa
 
Mimi nilkuwa natembeaaa na nauli ya emergence alafu nawekaaa kwenye suruali nabeba na sm tu au kipochi kidogooo ambacho ninakuwa nacho muda woteeeee inakuwa rahisi kukimbiaaaaa
Unakuta mtu umeitwa sehemu ukifika tu unaanza kufakamia mwishowe wanakuvua viatu mie nilikuwa nacheka balaa unakulaje tu bila kujiongeza akili[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Vituko vipo vingi sana [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Najua hii week umekumbuka makolon yoteee uliyoyakimbiaaaaa[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…