Swali: Je, umeshawahi kumkimbia mtu baada ya kumkuta ndivyo sivyo? (with updates)

hizo story utakuwa unawadihithia mabest zako pale ambapo utakuwa upo kwenu umezalishwa na hakuna wa kukuoa huku jua limeshazama na figa yote kupotea unabaki ninge ninge
 
hizo story utakuwa unawadihithia mabest zako pale ambapo utakuwa upo kwenu umezalishwa na hakuna wa kukuoa huku jua limeshazama na figa yote kupotea unabaki ninge ninge
Kwahiyo unashaur nn mkuu?
 
Ila hizo treni tunazo mm na mme wangu Mshana huwa tunapakiaa misukule kwenda gamboshiiii[emoji578] [emoji578] [emoji578] [emoji578] [emoji578] [emoji578]
Haaaa haaaa[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]halafu wewe kwahiyo wewe na mmeo bado ya hizo treni ipo duu[emoji38][emoji38][emoji38]
 
Hata mm nimeshangaaa kidogo nikajua ke aiseeeeh[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji100] [emoji100] [emoji100] [emoji100] [emoji100] [emoji100] [emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Jinsia zisizo julikana[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…