Boligado
Member
- Jan 10, 2012
- 44
- 49
Nimesikia katika taarifa kwenye radio kiongozi wa CWT anazungumza kuwa'tulipenda pia kuonyesha serikali na sisi(CWT) tunaweza kudai maslahi yetu kwa njia ya mgomo.' Mi sijaona tija yoyote kwa huu mgomo labda ilikuwa janja ya viongozi wa CWT kuendelea kujijenga kwenye chama na kuandaa mazingira ya kuchaguliwa tena. Maoni yenu katika hili.