baada ya mahakama kutoa hukumu na CWT kutoa tamko kukubaliana na kila kitu including kulipa fidia kwa wanafunzi (iwapo serikali itataja kiasi cha fidia hiyo), ni ngumu sana kujua kama CWT walikuwa wanajua wanachokifanya au waliamua kutangaza mgomo kichwa kichwa bila kwanza ku-establish uhalali wa mgomo huo kisheria na athari zake