Swali kasirishi: Kwanini Paketi ina Condoms 3?

Mwenye jibu naomba msaada tutani. Je alifanya zikae condom tatu tatu alikua na maana kwa kawaida ni goli tatu tu ndio maximum??? Au???
Tairi za ziada zina kazi gani,kwani lazima kila safari zitumike au zipo kwa dharula?.
 
Huku mikoani ni 3×3 usiku mmoja kesho unasepa shambani, hata hizo condom zikizingua unatoa unagonga kavu
 
Kwa bongo condom mingi zipogo tatu kwamaana vibao vya wabongo walio wengi mwisho ni vitatu ukikomaa had cha tano we ni mbishi lakini sahz ningeshauri tu wapunguze matumizi mabaya ya malighafi za condom mana bongo hasa Dar mwisho kibao kimoja cha kibingwa (kijogo)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…