S.Liondo
JF-Expert Member
- Apr 20, 2011
- 3,408
- 1,713
Hivi ni kweli kwamba ARVs zinapotumiwa na mtu muda mfupi baada ya kuhisi anaweza kuwa amembukizwa HIV huweza kumkinga? Kama ni kweli, je inatakiwa iwe si zaidi ya masaa mangapi tangu mlengwa alipohisi kuambukizwa? Na Pia atazipata wapi? Pharmacy au Zahanati?