Leo nimefurahi, unataka kuuza hisa? vipi utauzaje ,unauhakika wa kurudisha hela ya watu na ongezeko lake? au unataka kununua hisa benk? hisa ni uwekezaji yaani mf. unaenda nmb unanunua hisa vipande 1000 kila kipande tuseme tsh10 000 = 10 000 000, hii hela unawapa unakua moja ya mtaji wao, baada ya mda kuisha wanachukua mtaji wanaangalia faida wanaangalia vipande vilivyo nunuliwa wanagawa faida unapata chako faida na mtaji ambao ndo ulinunulia vipande. omba mungu isipate hasara itafiako