jamani vodacom natumia muda murefu sana zaidi ya miezi sita ttcl ndio wazuri kuliko wote mitandao mingine wizi mtupu hasa voda, ukijiunga hawakujibu au wanakujibu baada ya masaa sita hivyo tuwaambie wache kutuibia, wenye kutaka kuchakachua vodafone, tigo najua njia