Ninapenda kutafuna mifupa milaini ya kuku. Hasa kwenye viungio--huwa kuna ile mifupa myeupe hivi--ni kama si mfupa na si nyama. Kwa kuku wa kienyeji labda hakuna tatizo. Kwa kuku wa kisasa je?
Ninapenda kutafuna mifupa milaini ya kuku. Hasa kwenye viungio--huwa kuna ile mifupa myeupe hivi--ni kama si mfupa na si nyama. Kwa kuku wa kienyeji labda hakuna tatizo. Kwa kuku wa kisasa je?
Wanasema kuvunja na kula mifupa ya kuku hawa wa kizungu ambayo ina kemikali ndani yake (in the bone marrow - uboho) inaweza kukuotesha mapumbu ya hajabu au makalio kuzidi ya yale ulioumbwa nayo. Jitizame sehemu zako za siri vizuri, ukikuta una kama kajipu au makalio yanaongezeka nenda kamuone daktari.