Swali kuhusu kutafuna mifupa ya kuku

Jehanamu Hii

Member
Joined
Dec 16, 2016
Posts
41
Reaction score
31
Ninapenda kutafuna mifupa milaini ya kuku. Hasa kwenye viungio--huwa kuna ile mifupa myeupe hivi--ni kama si mfupa na si nyama. Kwa kuku wa kienyeji labda hakuna tatizo. Kwa kuku wa kisasa je?

Kuna matatizo yoyote ya kiafya naweza kupata?
 
Ninapenda kutafuna mifupa milaini ya kuku. Hasa kwenye viungio--huwa kuna ile mifupa myeupe hivi--ni kama si mfupa na si nyama. Kwa kuku wa kienyeji labda hakuna tatizo. Kwa kuku wa kisasa je?

Kuna matatizo yoyote ya kiafya naweza kupata?


Wanasema kuvunja na kula mifupa ya kuku hawa wa kizungu ambayo ina kemikali ndani yake (in the bone marrow - uboho) inaweza kukuotesha mapumbu ya hajabu au makalio kuzidi ya yale ulioumbwa nayo. Jitizame sehemu zako za siri vizuri, ukikuta una kama kajipu au makalio yanaongezeka nenda kamuone daktari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…