Wadau nisaidieni, Sisi wenye diploma za vyuo chini ya nacte majibu yalichelewa ndio kwanza tumeweza kuapply TCU sasa. Je tutawezaje kuapply loan board wakati Link ya OLAS IMEFUNGWA? naomba nisadieni mwenzenu, hhali si nzuri
Pole sana me navyojua hao jamaa waliongeza mda wa kutuma maombi na wakasisitiza hawataongeza mda me nakushauri utafute wadhamini tu maana HESLB hawawezi pokea tena maombi.
Wadau nisaidieni, Sisi wenye diploma za vyuo chini ya nacte majibu yalichelewa ndio kwanza tumeweza kuapply TCU sasa. Je tutawezaje kuapply loan board wakati Link ya OLAS IMEFUNGWA? naomba nisadieni mwenzenu, hhali si nzuri