babuumzuri Member Joined Sep 18, 2020 Posts 14 Reaction score 7 Sep 18, 2020 #1 Habari, Ikiwa nimepanda maharage ya soya ya njano kwenye shamba lenye ukubwa wa heka 2, yakaota vizuri na kuzaa vizuri, je kuna uwezekano wa kuvuna gunia ngapi?
Habari, Ikiwa nimepanda maharage ya soya ya njano kwenye shamba lenye ukubwa wa heka 2, yakaota vizuri na kuzaa vizuri, je kuna uwezekano wa kuvuna gunia ngapi?
mugah di matheo JF-Expert Member Joined Jul 28, 2018 Posts 6,307 Reaction score 12,410 Sep 20, 2020 #2 Ngoja waje ila soya ya njano ??
T Tangantika JF-Expert Member Joined Aug 12, 2018 Posts 5,586 Reaction score 7,087 Sep 20, 2020 #3 Mkuu formula ni debe moja kwa debe kumi kwa uangalizi wa hali ya juu.Wengi hupata debe tano+ kwa kilimo cha mazoea ukishangaa hata 3. Maharge kipapi(soya) hayamtupi mkulima ila utagharamia mbegu ya kutosha.Tembelea uzi za kilimo cha maharage wameeleza humu vizuri sana. Ushauri kama unaweza kupata mbolea ya kuku hutajuta, maharge hayaungui hivyo na hustawi vizuri.
Mkuu formula ni debe moja kwa debe kumi kwa uangalizi wa hali ya juu.Wengi hupata debe tano+ kwa kilimo cha mazoea ukishangaa hata 3. Maharge kipapi(soya) hayamtupi mkulima ila utagharamia mbegu ya kutosha.Tembelea uzi za kilimo cha maharage wameeleza humu vizuri sana. Ushauri kama unaweza kupata mbolea ya kuku hutajuta, maharge hayaungui hivyo na hustawi vizuri.