Swali kuhusu Masters degree

the-true-wash

Senior Member
Joined
Oct 14, 2012
Posts
142
Reaction score
109
Habari wadau.
Nina mpango wa kuanza kusoma MBA mt. Meru university lakini mbona watu wanaponda saana hicho chuo?
Kwani ukiwa na masters je inatofautishwa kwa chuo ulichosoma au??
Msaada jamani maana vyuo vingine ada ni juu sana.
 
Nenda kasome acha ujinga wa kuanza kubishana chuo gani kizuri kipi kibaya,as long as kimepewa usajili wa kudumu na mamlaka husika we nenda kachukua MBA yako ikusaidie maishani. Ni kweli kuna vyuo ada ni juu na bado unaweza usiipate hiyo masters,kusoma bongo imekuwa kama bahati hivyo ukiipata usiichezee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…