the-true-wash
Senior Member
- Oct 14, 2012
- 142
- 109
Siongelei supp wala uwezo.
Nataka kufahamu kama masters ya chuo flan ni zaidi ya masters ya chuo kingine kwa kozi moja.
Habari wadau.
Nina mpango wa kuanza kusoma MBA mt. Meru university lakini mbona watu wanaponda saana hicho chuo?
Kwani ukiwa na masters je inatofautishwa kwa chuo ulichosoma au??
Msaada jamani maana vyuo vingine ada ni juu sana.
Siongelei supp wala uwezo.
Nataka kufahamu kama masters ya chuo flan ni zaidi ya masters ya chuo kingine kwa kozi moja.
Hujitambui wewe
Kama huu uchunguzi tu unakusumbua!!!!Siongelei supp wala uwezo.
Nataka kufahamu kama masters ya chuo flan ni zaidi ya masters ya chuo kingine kwa kozi moja.
Kasome bwana. Mbona zipo shule za kata watu wanasoma na wanafaulu vizuri?
First class inakusubiri hapo, kaichukue faste.
kama kuponda mbona kuna watu wanaponda hadi udsm mkuu?.kwenye ajira hakuna mambo hayo.kwenye ajira si kuna interview?na interview wanaita watu wote si wa kutoka vyuo fulani.habari wadau.
Nina mpango wa kuanza kusoma mba mt. Meru university lakini mbona watu wanaponda saana hicho chuo?
Kwani ukiwa na masters je inatofautishwa kwa chuo ulichosoma au??
Msaada jamani maana vyuo vingine ada ni juu sana.
Kwa uwezo wako naona hicho chuo kinakufaa. tusikulaZimishe kusoma vyuo vinavyokuzidi uwezo bure. Nenda kasome utamaliza bila supp si ndio unachotaka?
Kama huu uchunguzi tu unakusumbua!!!!
Thesis utaandika???!!!!
Kwani masters ni nini haswa!!!
Kwa uwezo wako naona hicho chuo kinakufaa. tusikulaZimishe kusoma vyuo vinavyokuzidi uwezo bure. Nenda kasome utamaliza bila supp si ndio unachotaka?