Sangarara
JF-Expert Member
- Sep 29, 2011
- 13,104
- 5,659
Huko nyuma ilifikia hatua nilimuomba Mheshimiwa ZITTO kabwe apunguze speed yake kwenye namna alivyokuwa akiipigia chepuo NSSF kuwekeza kwenye miradi ya Kisiasa hasa umeme kwa sababu kwanza iliishaonekana kwamba hawajaonyesha prudence kwenye maeneo mengine walikowekeza kama Kiwira,General Tyre na maeneo mengine.
Mtu kama mimi, nilifikia hatua hiyo sababu niliona kuna hatari ya mafao yangu kuja kupotea sababu ya uwekezaji wa kisiasa unaofanywa na unaolazimishwa kufanywa kupitia mashirika ya hifadhi za jamii.
Leo, imekuja kubainika kwamba sheria ya mafao ya wafanyakazi imechakachuliwa, kwa msingi ambao ni wazi kabisa una nia ya kuyapatia mashirika haya liquidity ya kuspend kwenye hizo investments, Bila kwenda kwenye details zaidi ambazo zinaendelea kutolewa na watu mbali mbali, naomba nijielekeze kwenye swali la msingi.
Msingi wa Swali
Ukaribu wako na NSSF na serikali unajurikana nchi nzima, naomba uniaminishe japo mimi binafsi kwamba, haukuwa na clue yoyote ile ya kuyawezesha mashirika haya kifedha kwa kuwakandamiza wafanyakazi. Imani yangu ni kwamba kwa namna ulivyo na mahaba ya kuona mashirika haya yanashiriki kwenye uwekezaji ni lazima hii funding plan uiliielewa kabla.
AU. Ni wewe ndio uliye come up na huu mkakati?
Mtu kama mimi, nilifikia hatua hiyo sababu niliona kuna hatari ya mafao yangu kuja kupotea sababu ya uwekezaji wa kisiasa unaofanywa na unaolazimishwa kufanywa kupitia mashirika ya hifadhi za jamii.
Leo, imekuja kubainika kwamba sheria ya mafao ya wafanyakazi imechakachuliwa, kwa msingi ambao ni wazi kabisa una nia ya kuyapatia mashirika haya liquidity ya kuspend kwenye hizo investments, Bila kwenda kwenye details zaidi ambazo zinaendelea kutolewa na watu mbali mbali, naomba nijielekeze kwenye swali la msingi.
Msingi wa Swali
Ukaribu wako na NSSF na serikali unajurikana nchi nzima, naomba uniaminishe japo mimi binafsi kwamba, haukuwa na clue yoyote ile ya kuyawezesha mashirika haya kifedha kwa kuwakandamiza wafanyakazi. Imani yangu ni kwamba kwa namna ulivyo na mahaba ya kuona mashirika haya yanashiriki kwenye uwekezaji ni lazima hii funding plan uiliielewa kabla.
AU. Ni wewe ndio uliye come up na huu mkakati?