Swali kuhusu Repackaging (kufungasha upya bidhaa iliyozalishwa na kufungashwa na mwingine)

.Daniel.

Member
Joined
Oct 19, 2011
Posts
21
Reaction score
8
wakuu naomba kufahamishwa.

je,ninaruhusiwa kuifungasha upya kwenye mifuko yenye nembo yangu bidhaa iliyotengenezwa na kufungashwa na mtu mwingine?
mfano nanunua bidhaa iliyosindikwa na kuwa packed na kampuni fulani iliyothibitishwa ubora na shirika la viwango la kimataifa ISO, kisha mimi naichukua ile bidhaa naipaki upya kwa nembo yangu halafu naiuza.kama inaruhusiwa utaratibu unakuwaje?

note:sitaki vifungashio vyangu vibebe nembo mbili ya mzalishaji na yangu,nataka viwe na nembo yangu tu, na mimi ni act as a producer in the sense that kwenye kiwanda changu bidhaa ile ninayoinunua inakuwa assumed as unfinished product na kuwa finished product inapotoka kiwandani kwangu.pia nataka nipewe nembo ya ubora wa bidhaa ya TBS.

karibuni kwa michango yenu.
natanguliza shukurani
 
Mkuu hapo mbona naona kama kuna harufu
ya uchakachuzi , kwani ikitokea shida yoyote
kwa bidhaa zako itabidi wewe ndio uwe unawajibika
moja kwa moja kama mwenye bidhaaa....
hivyo kuwa makini na makanjanja wasije fanya yao
ukaishia kulia lia tu hapa....
 

this is unlawful trading .... ingredients and contents of a product are patented with copyright ..... you must have gone for a licencing and trade mark or go for the same product bu t semi processed
 
mkuu bidhaa hiyo kwangu inaingia kama raw material to, naifanyia analysis mwanzo mwisho mwenyewe kisha TBS wanahusika kuthibitisha

Kwanini ufanye finished product as a raw material? .... how would you realise profit by repackaging a finished product ? how can you balance between your new brand name with the quality of the product that has already have a brand name and a successful market .... have you tried SWOT analysis ..... ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…