Mad Max
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 26,961
- 77,890
Habari wazee.
Najua humu kunaweza kua na wataalamu wanaohusika na kushoot bongo movie au ata waigizaji wenyewe.
Nilikua na swali kidogo kuhusu hii sector.
Hivi kwa kawaida movie moja (Bongo Movie), inachukua siku au miezi mingapi kukamilika kurekodiwa?
Hapa nauliza ile shooting tu, tuachane na editing au manjonjo mengine yanayofanywa kwa software baadae.
Pia wakati wa kushoot video, camera ngapi zinahusika? Namaanisha kuna camera zaidi ya moja au?
Nishawahi ona kwenye movie flani ya "Ong Bak", tukio moja linaoneshwa katika angle tofauti tofauti, ikimaanisha camera zaidi ya moja ilihusika. Vipi hpa?
Na vipi kuhusu budget ya kushoot. Kuanzia vitu walivyo kodi (Kama nyumba, mavazi, makeup etc), average ina-range bei gani?
Movie nyingi (kama sio zote) za wenzetu, wanasemaga budget iliotumika katika kutengeneza hiyo video. Naonaga sometimes Millions of Dollars zinahusika.
Vipi kwetu movie iliotia fola kwa gharama ya utengenezaji ipi? Tsh ngapi?
Angalau upande wa Bongo Fleva, mfano mzuri Diamond, kakutajia jinsi video yake ya Number 1 ilivogharamia kutengeneza na mchanganuo ukaeleweka. Vipi Bongo Movie huo utaratibu umewah onekana?
Sorry kwa mpangilio mbovu wakuu.
Shukrani.
Najua humu kunaweza kua na wataalamu wanaohusika na kushoot bongo movie au ata waigizaji wenyewe.
Nilikua na swali kidogo kuhusu hii sector.
Hivi kwa kawaida movie moja (Bongo Movie), inachukua siku au miezi mingapi kukamilika kurekodiwa?
Hapa nauliza ile shooting tu, tuachane na editing au manjonjo mengine yanayofanywa kwa software baadae.
Pia wakati wa kushoot video, camera ngapi zinahusika? Namaanisha kuna camera zaidi ya moja au?
Nishawahi ona kwenye movie flani ya "Ong Bak", tukio moja linaoneshwa katika angle tofauti tofauti, ikimaanisha camera zaidi ya moja ilihusika. Vipi hpa?
Na vipi kuhusu budget ya kushoot. Kuanzia vitu walivyo kodi (Kama nyumba, mavazi, makeup etc), average ina-range bei gani?
Movie nyingi (kama sio zote) za wenzetu, wanasemaga budget iliotumika katika kutengeneza hiyo video. Naonaga sometimes Millions of Dollars zinahusika.
Vipi kwetu movie iliotia fola kwa gharama ya utengenezaji ipi? Tsh ngapi?
Angalau upande wa Bongo Fleva, mfano mzuri Diamond, kakutajia jinsi video yake ya Number 1 ilivogharamia kutengeneza na mchanganuo ukaeleweka. Vipi Bongo Movie huo utaratibu umewah onekana?
Sorry kwa mpangilio mbovu wakuu.
Shukrani.