ramadhani kimweri Senior Member Joined Apr 22, 2016 Posts 181 Reaction score 179 Jun 11, 2016 #1 Kuna swali linanisumbua sana kichwa changu nataka kujua kwa kirefu zaidi JE WACHEZAJI WA TIMU YA TAIFA WANALIPWA?
Kuna swali linanisumbua sana kichwa changu nataka kujua kwa kirefu zaidi JE WACHEZAJI WA TIMU YA TAIFA WANALIPWA?
G Guasa Ambonii JF-Expert Member Joined Aug 13, 2015 Posts 8,545 Reaction score 10,283 Jun 11, 2016 #2 Yaah wanalipwa posho za kujikimu kulingana na mazingira waliyopo.Na kwa Africa hili jambo huleta migogoro sana mpaka kufikia wachezaji kugoma baada ya kulimbikiziwa posho zao kwa muda mrefu
Yaah wanalipwa posho za kujikimu kulingana na mazingira waliyopo.Na kwa Africa hili jambo huleta migogoro sana mpaka kufikia wachezaji kugoma baada ya kulimbikiziwa posho zao kwa muda mrefu