Swali kwa dawasco! au kwa anaejua

Swali kwa dawasco! au kwa anaejua

Zainab j

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2018
Posts
1,817
Reaction score
2,362
Ni hivi, nimevuta maji yapata miaka mitano iliyopita, ilinighalimu Kama laki saba hivi,.

sasa Kuna mtu jirani yangu ameenda mamlaka ya maji ,baada yakutajiwa ghalama Hadi maji yafike kwake Ni kubwa, wakamuambia heti akiweza aniombe Mimi jirani yake nimuandikie barua hili aipeleke huko avute Kwenye hili bomba langu nadhani dogo la 3/4 ,

sasa nikifanya huu ujinga anaenufaika hapa Ni Mimi au Hawa mamlaka ya maji na huyu jirani,
kingine kwa tabia za roho mbaya za sisi waswahili ingekuwa Ni yeye asingekubari nahisi, Sasa hapa nafikiria kutokumpa idhini, Kwanza kingine naona ntakuwa sipati maji mengi kwangu Kama yeye atachukua nyuma ya bomba langu
 
Ni hivi, nimevuta maji yapata miaka mitano iliyopita, ilinighalimu Kama laki saba hivi,.

sasa Kuna mtu jirani yangu ameenda mamlaka ya maji ,baada yakutajiwa ghalama Hadi maji yafike kwake Ni kubwa, wakamuambia heti akiweza aniombe Mimi jirani yake nimuandikie barua hili aipeleke huko avute Kwenye hili bomba langu nadhani dogo la 3/4 ,

sasa nikifanya huu ujinga anaenufaika hapa Ni Mimi au Hawa mamlaka ya maji na huyu jirani,
kingine kwa tabia za roho mbaya za sisi waswahili ingekuwa Ni yeye asingekubari nahisi, Sasa hapa nafikiria kutokumpa idhini, Kwanza kingine naona ntakuwa sipati maji mengi kwangu Kama yeye atachukua nyuma ya bomba langu
Uko eneo gani mkuu.
Mi ni miongoni mwa wahanga, nilivuta maji kwa umbali mrefu baadae watu wakaomba waunganishwe nikawa nawapa barua lakini sasa hivi dawasco wanasema bomba ni lao hata kama miundombini niliweka mie.
 
Uko eneo gani mkuu.
Mi ni miongoni mwa wahanga, nilivuta maji kwa umbali mrefu baadae watu wakaomba waunganishwe nikawa nawapa barua lakini sasa hivi dawasco wanasema bomba ni lao hata kama miundombini niliweka mie.
Je unapata maji kwa wingi au yamepungua mkuu? Kwahiyo ikitokea amekukera huyu mtu aliyechukua kwako maji inamaana huwezi kumkatia bomba lake toka kwenye laini yako
 
na una bahati umepata hii taarifa
la sivyo wangeunga toka kwa 3/4 kinyemela, wewe huku pressure ndani inapungua

mwambie jirani avute toka line kuu
akiunga bila idhini yangu sinang'oa tu mkuu, ntamuambia akaunge tu kwenye bomba kubwa
 
Mwambie achangie gharama, akupe laki 5, wewe nunua tank
Mnjaa njaa yule hawezi kutoa hiyo hela, halafu kwa tabia ya mswahili ukimumbia achangie hela atakuona Kama unamind Sana, wakati ghalama yake inafika laki nane au milioni kwasasa kwa umbali tuliopo,dawa nikumwambia kuwa wife kakataa
 
Back
Top Bottom