The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,092
Nimekua nikijiuliza sana kuhusu mahusiano.
1. Dada ana mpenzi wana miaka,sio mume wala mwanaume hana mpango wa kuoa,
wanafanya kazi mikoa tofauti, ajabu mwanaume anampa mwanamke masharti ya kufika kwa mwanaume.
Dada akienda lazima atoe taarifa kabla na hata ukitoa taarifa sio kwamba lazima atakuruhusu, anaweza kusema usije nina wageni wa ofisini. Dada akienda wageni hakuna na ananuniwa
inabidi aondoke tu. Akirudi kwake mwanaume ndio analeta mapenzi na dada anapata amani kua alimkosea laaziz,hivi huyu mwanamke hapa huwa anang'ang'ania nini?
Kama hamjaoana hakujali, ndani ya ndoa si itakua balaa?
2. wapenzi wqanaishi mikoa tofauti, mwanaume aakienda mkoa anaoishi mpenziwe hamjulishi, dada anaambiwa na wanaomjua huyu kaka kuwa tumemuona,kaka akiulizwa anajibu nipo ila nina mambo mengi nitakutafuta. Kaka anamaliza kilichomleta hadi anaondaoka bila kumtafuta mpenzi wake,bibie akipiga simu kumuulizia kaka anajibu nimeondoka ilikua ghafla!!
Dada anaandaa safari kwenda kwa kijana na zawadi kafungasha, wakiwa kwa mwanaume mapenzi kunoga lakini kaka akienda mkoa anaoishi mdada anajificha.
Mdada anavumilia eti kweli kazi nyingi,jamani kweli au ndio mapenzi upofu?
3. Utakuta dada ana mpenzi ambaye siyo mume, siyo mchumba wala siyo baba mtoto.
Mwanaume ana visa na mbaya zaidi ni mpigaji hadi dada tunakupeleka hospitali lakini ukipona umerudi na style ya maisha ni ile ile kupigana.
Hivi hapa kinachomfanya dada huyu kuvumilia mateso na aibu hii ni nini? Na anavumilia ili aolewe au ndio kupenda?
Kama kweli mapenzi Upofu mbona visa tunavyotendwa tunaviona, TUNALALAMIKA,tunalia tunafuta machozi halafu bado tunajipa moyo, Hivi huwa nini kinatufanya tuendelee kuvumilia?
Ni watu wazima ila wanataka kujifanya watotoHuyo dada ni mjinga (samahani kama ni nimetumia lugha nzito. Hivi anahitaji mtu kumwambia kuwa huyo jamaa anamtumia tu, tena kama taili la spea?
watu wengine bwana (awe KE au ME) nadhani wana matatizo ya akili....
Nimemchukia sana huyu binti...Kwani asipokuwa na mwanamume ndo atakuwa ame..R.I.P??
Nimechoka mwenzeni na hawa watoto... Mzee DC!!
Nimekua nikijiuliza sana kuhusu mahusiano.
1. Dada ana mpenzi wana miaka,sio mume wala mwanaume hana mpango wa kuoa,
wanafanya kazi mikoa tofauti, ajabu mwanaume anampa mwanamke masharti ya kufika kwa mwanaume.
Dada akienda lazima atoe taarifa kabla na hata ukitoa taarifa sio kwamba lazima atakuruhusu, anaweza kusema usije nina wageni wa ofisini. Dada akienda wageni hakuna na ananuniwa
inabidi aondoke tu. Akirudi kwake mwanaume ndio analeta mapenzi na dada anapata amani kua alimkosea laaziz,hivi huyu mwanamke hapa huwa anang'ang'ania nini?
Kama hamjaoana hakujali, ndani ya ndoa si itakua balaa?
2. wapenzi wqanaishi mikoa tofauti, mwanaume aakienda mkoa anaoishi mpenziwe hamjulishi, dada anaambiwa na wanaomjua huyu kaka kuwa tumemuona,kaka akiulizwa anajibu nipo ila nina mambo mengi nitakutafuta. Kaka anamaliza kilichomleta hadi anaondaoka bila kumtafuta mpenzi wake,bibie akipiga simu kumuulizia kaka anajibu nimeondoka ilikua ghafla!!
Dada anaandaa safari kwenda kwa kijana na zawadi kafungasha, wakiwa kwa mwanaume mapenzi kunoga lakini kaka akienda mkoa anaoishi mdada anajificha.
Mdada anavumilia eti kweli kazi nyingi,jamani kweli au ndio mapenzi upofu?
3. Utakuta dada ana mpenzi ambaye siyo mume, siyo mchumba wala siyo baba mtoto.
Mwanaume ana visa na mbaya zaidi ni mpigaji hadi dada tunakupeleka hospitali lakini ukipona umerudi na style ya maisha ni ile ile kupigana.
Hivi hapa kinachomfanya dada huyu kuvumilia mateso na aibu hii ni nini? Na anavumilia ili aolewe au ndio kupenda?
Kama kweli mapenzi Upofu mbona visa tunavyotendwa tunaviona, TUNALALAMIKA,tunalia tunafuta machozi halafu bado tunajipa moyo, Hivi huwa nini kinatufanya tuendelee kuvumilia?
<br /><font color="darkred"><br />
Endelea kuvumilia na usichoke utapata thawabu mbinguni, tena mbinguni unajilimbikizia mema usichokoze banaa</font>
Endelea kuvumilia na usichoke utapata thawabu mbinguni, tena mbinguni unajilimbikizia mema usichokoze banaa
Kweli kabisa michelle unateseka kabla hujaolewa! je ukiolewa ufanyeje sasa? anzamaisha mapya achana nae huyo utakufa na presha bureNamuomba Mungu ampe ujasiri na macho ya kuona,anateseka na aweza teseka zaidi. mwambie wapo wanaume wenye uwezo wa kumpenda zaidi na kumthamini as well as kumuheshimu.Atulie awe na imani na subira na amuombe Mungu,atampa,yeye hapendi tuteseke kwa excuse ya nampenda sana......!
Endelea kuvumilia na usichoke utapata thawabu mbinguni, tena mbinguni unajilimbikizia mema usichokoze banaa
Wanaume tumeumbwa mateso mateso kuhangahikaThawabu kwa kuvumilia mateso na wakati huo unatenda dhambi maana hujaolewa na mnafanya mapenzi Nafikiri ni tabia ya wamama kuvumilia tangu zamani
Dah haya mapenzi jamani. Dah tuweni na akili jamani wanawake, tunaweza kuishi bila hawa viumbe ni uamuzi tu. Wakati ukifika kama kuna kuolewa tutaolewa tu, kwa nini kuizika nafsi na roho kwa mtu asiyekupenda wala kujali? Dah hebu tufungukeni. Kama mtu ni sababu ya huzuni yako why unamganda? Wanaume wapo kibao wazee kwa vijana kama shida ni mapenzi, but kwani tumekosa nini hadi kujitesa namna hio? Dah mi mtu wala sifikirii mara mbili. Kinachotakiwa ni furaha na amani bwana. Kama mtu akupi furaha we wa nin
Huyo dada ni mjinga (samahani kama ni nimetumia lugha nzito. Hivi anahitaji mtu kumwambia kuwa huyo jamaa anamtumia tu, tena kama taili la spea?
watu wengine bwana (awe KE au ME) nadhani wana matatizo ya akili....
Nimemchukia sana huyu binti...Kwani asipokuwa na mwanamume ndo atakuwa ame..R.I.P??
Nimechoka mwenzeni na hawa watoto... Mzee DC!!
Dah!! :doh::doh: Haya mambo banaa ona sasa hadi nimekosa hamu ya kula:hungry::hungry: usiku huu inatubidi:hail::hail: naπray2:πray2: sana ili yasije kukuta halafu mtu ukaanza:fencing::fencing:kama sio :A S-cry::A S-cry: na:faint::faint:na :A S-confused1::A S-confused1:halafu una :rip::rip::rip: sababu ya :A S-heart-2::A S-heart-2:
Si ndio hapo, na ajiendeage zake tu kha! na apite kama wenzie walivyopita bwana, shida ya nini maisha yenyewe mafupi
Wanaume tumeumbwa mateso mateso kuhangahika
Wanawake wameumbwa kuvumilia
Lol!!!