Heshima kwenu Wakuu.
1.Eti ni kweli kwamba mtoto akizaliwa premature wa miezi 7 anayo nafasi kubwa ya kusurvive kuliko premature wa miezi 8?
Kama jibu ni ndio nitafurahi kufafanuliwa ni kwa nini.
2.Nafahamu kwamba mtoto anapokua tumboni kuna wakati kichwa chake hugeukia kule chini anapotokea,sasa naomba kujua Je hicho kichwa kinapodondoka kutizama chini ni kitendo kinachofanyika taratibu kwa masiku Kama vile mshale wa saa unavyoenda taratibu kuelekea pale kwenye saa 12 au inatokea siku mama mjamzito Anasikia tu ghafla mtoto akiflip kichwa chini?
3.Je mama mjamzito ikitokea akalalia tumbo,atamkandamiza mtoto wake hadi afe?
natanguliza shukrani.
1.Eti ni kweli kwamba mtoto akizaliwa premature wa miezi 7 anayo nafasi kubwa ya kusurvive kuliko premature wa miezi 8?
Kama jibu ni ndio nitafurahi kufafanuliwa ni kwa nini.
2.Nafahamu kwamba mtoto anapokua tumboni kuna wakati kichwa chake hugeukia kule chini anapotokea,sasa naomba kujua Je hicho kichwa kinapodondoka kutizama chini ni kitendo kinachofanyika taratibu kwa masiku Kama vile mshale wa saa unavyoenda taratibu kuelekea pale kwenye saa 12 au inatokea siku mama mjamzito Anasikia tu ghafla mtoto akiflip kichwa chini?
3.Je mama mjamzito ikitokea akalalia tumbo,atamkandamiza mtoto wake hadi afe?
natanguliza shukrani.