Mbaya ni kujitatuu pembeni ya mashavu.....!na mimi sasa nisaidieni, nini mbaya na huyu dada kuji-tatuu?
Ndugu, eti samahani niko na swali wewe uko na mke wako mpya, mtoto wa Mchungaji na kakulia kwenye familia ya kilokole, kutokana na maadili aliyokulia hujala tunda hadi baada ya kufunga ndoa takatifu kanisani. usiku wa kwanza tunda mmelila gizani, asubuhi ukaja kugundua ana tatoo permanent one mbili mmoja kwenye paja pembeni kabisa na home sweet home na nyingine kwa bubs yaaani kama zile za eve je utaendelea kuwa nae?
Naomba jibu tafadhali
uyo aliyemtatuu pembeni ni nani...sikubali mimi.
Mbaya ni kujitatuu pembeni ya mashavu.....!
ndo palipompendeza yeye, sasa mbona sioni shida bado?
btw: hapa bongo who can do it nicely???? mi natafuta fundi wa hiyo ati, kila ninyemuuliza yake kachorea wapi.....ooh SA, sijui marekani sijui wapi.....
can sm1 help?
After all, I find tattoos so sexy....Kama kuna mdada ana tattoo humu jamani naomba tutete kidogo kwenye PM!
Kijana kweli mbinu zako za kunasa warembo zimeenda shule si kitoto.
Ndugu, eti samahani niko na swali wewe uko na mke wako mpya, mtoto wa Mchungaji na kakulia kwenye familia ya kilokole, kutokana na maadili aliyokulia hujala tunda hadi baada ya kufunga ndoa takatifu kanisani. usiku wa kwanza tunda mmelila gizani, asubuhi ukaja kugundua ana tatoo permanent one mbili mmoja kwenye paja pembeni kabisa na home sweet home na nyingine kwa bubs yaaani kama zile za eve je utaendelea kuwa nae?
Naomba jibu tafadhali
Jamaa alithibitisha, au yalikuwa ni maneno ya kuvuruga tu mahusiano ya watu?
ndo palipompendeza yeye, sasa mbona sioni shida bado?
btw: hapa bongo who can do it nicely???? mi natafuta fundi wa hiyo ati, kila ninyemuuliza yake kachorea wapi.....ooh SA, sijui marekani sijui wapi.....
can sm1 help?
Kama upo Dar nenda nyuma ya Bilicanas pale kuna roundabout na kituo cha mafuta ulizia kijana wa tatoo,wasichana wengi wanamsifu kwa utaalamu wake.Na kama unahitaji mtu wakuweka pini za ulimi pia namfamu mtu.
Kama upo Dar nenda nyuma ya Bilicanas pale kuna roundabout na kituo cha mafuta ulizia kijana wa tatoo,wasichana wengi wanamsifu kwa utaalamu wake.Na kama unahitaji mtu wakuweka pini za ulimi pia namfamu mtu.
Ngoja nimpeleke mke wangu huko.
Ushauri wa bure, siku nyingine usinunue kiatu bila kujaribu size|||||||||||||||||||
Yeye hana sehemu unamchukua nyumbani anamtatoo wife lakini inabidi we usiwepo utamuharibia concentration.
Ndugu, eti samahani niko na swali wewe uko na mke wako mpya, mtoto wa Mchungaji na kakulia kwenye familia ya kilokole, kutokana na maadili aliyokulia hujala tunda hadi baada ya kufunga ndoa takatifu kanisani. usiku wa kwanza tunda mmelila gizani, asubuhi ukaja kugundua ana tatoo permanent one mbili mmoja kwenye paja pembeni kabisa na home sweet home na nyingine kwa bubs yaaani kama zile za eve je utaendelea kuwa nae?
Naomba jibu tafadhali