kwani si ulimkuta watu hawajamega,kwani tatizo lako nini hasa,inawezekana kajichora mwenyeweDuh kazi hapa duniani:juggle:
Mnaanza maisha yakijambazi na unamwuliza je unampango wakuzaa au tuanze na new session?? lakini kimitego mitego kama pako bomba unajitoa kama ulikuwa unatania kama wameshabomoa unendelea na training then unmkamatisha kwa wazazi una achananaye!!!
kama tatoo ni ya kitu kisichokwaza.. No P.. Ila nikikuta tatoo ya X Bf wake... kuna umuhimu wa kipindi cha maswali na majibu hapo!!
wanawake wajanja sana jamani, ona jamaa alivyozugika, hahahaMke wangu ana tatoo, sijawahi hata kumuuliza ni wapi alikoipata.
Ana adabu, heshima na taadhima kwangu, ndugu zangu na hata majirani pia.
Mtaa mzima wanamsifia kwa ukarimu na ucheshi wake.
Ana upendo kwa watu wote.
Wanawake wenye tatoooo hoyeeeeeeeee!!!!!!!!!!!!!!!
Hii topiki imenishangaza sana tena kupita kiasi. Hivi katika dunia hii ya sasa hivi mtu unaoa bila kutest mashine kwanza? mimi hiyo haiingii akilini kabisa maana mashine ni kigezo kimojawapo kwenye kufunga pingu za maisha
Mfano ungekuta mtu kakeketwa hata hamu ya mshibobo haisikii ungefanya nn? Ujinga ni SUMU
sasa matokeo yake umeenda kuona vitu usivyovitegemea na una bahati sana kukuta tattoo kwenye paja je ungekuta tattoo ya jina la mwanaume imechorwa kuzunguka tigo si ungekufa kabisa kwa presha