mkata-mkaa
JF-Expert Member
- Nov 16, 2016
- 296
- 181
Ni kwel mkuuDunia sinia kila mtu anapakua anachoweza. Chagua unachoweza kisha kifanye unavyoweza.
Asalaam.
Ngoja aje ajibuInawezekana ni mshauri wa masuala ya mapenzi ingawa nawe anahitaji kushauriwa
vp umeutamani nini?uceleb kazi sana
ushangai ben paul anaonyesha naye msambwanda
Hujamtendea haki kwakweli.huyo jamaa tangu siku ya kwanza nilipatwa sana mashaka hata na uchangiaji wake tu,utadhani ana jinsia mbili ila anaitumia sana ya mtandao pendwa..
Kwa hiyo kwako mtu akiwa anaanzisha mada za namna hiyo ni mvulana eeh!Akikuwa ataacha huyo bado ni mvulana,narudia tena ni "MVULANA"
Sio wote, wengine wanaleta mada kwa shida maalumu.... lakini huyu mvulana anachangamsha kijiwe cha mbege.Kwa hiyo kwako mtu akiwa anaanzisha mada za namna hiyo ni mvulana eeh!
Ok kila mtu na tafsiri yake.Sio wote, wengine wanaleta mada kwa shida maalumu.... lakini huyu mvulana anachangamsha kijiwe cha mbege.
Jibu lako nimelipenda sana Raven[emoji4] [emoji4]Dunia sinia kila mtu anapakua anachoweza. Chagua unachoweza kisha kifanye unavyoweza.
Kuna mtu ni mchezaji wa tenesi tu na hachezi football. Utauliza kwanini anacheza tenesi tu?
Asalaam.