Airfryer
JF-Expert Member
- Sep 17, 2021
- 430
- 1,039
Pwani ya Dar es Salaam ambako watu walimpokea muarabu wengi wao majina ya ukoo hawataki kuyatumia na wengi hawayajui, Mfano kuna watu waliitwa Juma Tambaza na Tambaza ni jina la ukoo. lakini Wengine wote huwa siwaelewi.
Majina yetu ya ukoo yapo kabla ya mkoloni na dini, kwani tulikuwa na maisha yetu.
.
Mtu anaitwa Salum Mohamed Juma, Hivi hapa kuna jina la ukoo? Juma ni jina la ukoo?
Mtu anaitwa Mohamed Said, Hapa kuna jina la ukoo kweli?
Kila nikiwahoji watu wa Dar es Salaam wazawa kuwa mbona akina Tambaza ni koo au Makuburi ni koo, Wengine mnaiita Khadija Juma Jaffer, Jaffer ni jina la ukoo? Wengine wanajiita Abdallla Mohsin Issa, Issa ni jina la ukoo?
Ukiuliza koo zenu ni zipi hawazijui wala kuzitambua wanasema hata wao hawaelewi kilitokea nini
Kwanini maeneo ya Pwani watu walijigeuza majina yote mpaka la ukoo hawajulikani
Pwani ya mtwara na lindi kidogo watu wana majina ya ukoo
Mfano Musa Adam Chinguile, Chinguile ni jina la ukoo maeneo ya mtwara huko
Mohamed ally Nanyecha, Nanyecha ni jina la ukoo maeneo ya mtwara na lindi
Sasa hawa wazee akina Mohamed Said, Koo zao ni zipi?
Lazima historia yetu ilindwe na iandikwe upya, Haiwezekani mtu kama Mohamed Said asiwe na jina la ukoo na Wengine wengi ya Pwani ya Dar es Salaam wakati dini zilitukuta tuna majina na koo zetu.
Tulinde historia yetu kama Mohamed Said anavyopigania, Na hili lazima tuliseme kuhusu majina ya koo maeneo ya Pwani kutojulikana yameenda wapi.
Majina yetu ya ukoo yapo kabla ya mkoloni na dini, kwani tulikuwa na maisha yetu.
.
Mtu anaitwa Salum Mohamed Juma, Hivi hapa kuna jina la ukoo? Juma ni jina la ukoo?
Mtu anaitwa Mohamed Said, Hapa kuna jina la ukoo kweli?
Kila nikiwahoji watu wa Dar es Salaam wazawa kuwa mbona akina Tambaza ni koo au Makuburi ni koo, Wengine mnaiita Khadija Juma Jaffer, Jaffer ni jina la ukoo? Wengine wanajiita Abdallla Mohsin Issa, Issa ni jina la ukoo?
Ukiuliza koo zenu ni zipi hawazijui wala kuzitambua wanasema hata wao hawaelewi kilitokea nini
Kwanini maeneo ya Pwani watu walijigeuza majina yote mpaka la ukoo hawajulikani
Pwani ya mtwara na lindi kidogo watu wana majina ya ukoo
Mfano Musa Adam Chinguile, Chinguile ni jina la ukoo maeneo ya mtwara huko
Mohamed ally Nanyecha, Nanyecha ni jina la ukoo maeneo ya mtwara na lindi
Sasa hawa wazee akina Mohamed Said, Koo zao ni zipi?
Lazima historia yetu ilindwe na iandikwe upya, Haiwezekani mtu kama Mohamed Said asiwe na jina la ukoo na Wengine wengi ya Pwani ya Dar es Salaam wakati dini zilitukuta tuna majina na koo zetu.
Tulinde historia yetu kama Mohamed Said anavyopigania, Na hili lazima tuliseme kuhusu majina ya koo maeneo ya Pwani kutojulikana yameenda wapi.