Kumekuwa namkanganyiko wa maamuzi ya kiuongozi katika vyama vya siasa hasa,
CCM,
CUF,
CHADEMA NK
Je, mwanachama anawajibika kwa katiba ya chama chake au kwa miongozo ya chama?
Je, usajili wa chama huwa mwanachama mmojammoja huamua tu kuja kusajili chama?
Chama cha siasa na Msajili nani anawajibu wakujua tabia za mwanachama ndani ya chama?
Je, mgombea yeyote hutambulishwa na nani kwa Tume ya uchaguzi?
Ikiwa vikao vya chama vyenye wajumbe halali wakimfukuza mwanachama msajili ana macho mengi kuliko wajumbe?
Nani mlezi wa mwanachama ndani ya chama?
Hojaji zingine kama unazo karibu.
CCM,
CUF,
CHADEMA NK
Je, mwanachama anawajibika kwa katiba ya chama chake au kwa miongozo ya chama?
Je, usajili wa chama huwa mwanachama mmojammoja huamua tu kuja kusajili chama?
Chama cha siasa na Msajili nani anawajibu wakujua tabia za mwanachama ndani ya chama?
Je, mgombea yeyote hutambulishwa na nani kwa Tume ya uchaguzi?
Ikiwa vikao vya chama vyenye wajumbe halali wakimfukuza mwanachama msajili ana macho mengi kuliko wajumbe?
Nani mlezi wa mwanachama ndani ya chama?
Hojaji zingine kama unazo karibu.