torvic
JF-Expert Member
- Mar 9, 2016
- 3,978
- 9,841
Habari zenu waungwana,
Najua hili swali limekaa kitoto lakini ukijiuliza hata wewe nadhani utafikiria kidogo haswa kama unaufahamu kidogo na mambo ya anga, kama wote tunavyofahamu jua huangaza mchana linachomoza mashariki linazama magharibi na mwezi nao uangaza usiku, kisomi hapo tunasema dunia ikijizungusha tunapata usiku na mchana. (sijui ndio ivoo)
Sasa mimi mshangao wangu na swali langu lianakuja pale napouona mwezi ukioneka kama majira saa 10 had saa 11 za jioni na ulitakia kuonakana usiku? kuna nini labda kinatokea mpaka tunauona muda huo na sio usiku kama inavyotakiwa.
Hapa naona kwa wenye elimu ya astronomy au believes zozote ningependa kujua inakuaje kuaje hapo?
Najua hili swali limekaa kitoto lakini ukijiuliza hata wewe nadhani utafikiria kidogo haswa kama unaufahamu kidogo na mambo ya anga, kama wote tunavyofahamu jua huangaza mchana linachomoza mashariki linazama magharibi na mwezi nao uangaza usiku, kisomi hapo tunasema dunia ikijizungusha tunapata usiku na mchana. (sijui ndio ivoo)
Sasa mimi mshangao wangu na swali langu lianakuja pale napouona mwezi ukioneka kama majira saa 10 had saa 11 za jioni na ulitakia kuonakana usiku? kuna nini labda kinatokea mpaka tunauona muda huo na sio usiku kama inavyotakiwa.
Hapa naona kwa wenye elimu ya astronomy au believes zozote ningependa kujua inakuaje kuaje hapo?