Swali kwa pesa za nssf


Ok unaweza kubadili mfuko lakini kubadilisha mfuko sio sawa na kuzichukua pesa zako, najua labda mnasema kuwa mnabadili lakini hamfanyi hivyo nawashauri muwe waangalifu kwenye hilo maana kuna element za fraud hapo, pia nadhani utakuwa umevunja ule mda ambao unatakiwa uwe umechangia mfuko ili kupata mafao unapostaafu, ila kama hautakuja kuyataka hayo mafao wakati wa kustaafu hili labda sio tatizo.
 
sorry Kang hivi kuna mtu ambaye anataka apewe milioni 1 - 10 leo au baada ya miaka tuseme 40 ijayo? kweli unaona thamani italingana? na kwanini hawaipi interest hii hela yetu wakati wao wanajengea maghorofa na kupangisha na kujilipa mamishahara makuubwa. tatu kuna ubaguzi sana wanakopesha nadhani watu wengine ila sio sisi wanyonge. Mradi ni akiba tu nimeamua mwenyewe niitumie sasa au la sioni kama ni fraud.
 
Edit: Wewe ndo hujui, soma sheria nimeiweka chini, PYUMBAVVVV...

Mwalimu wako anapata tabu sana kukuelewesha,kama haujui ni vyema kukaa kimya na sio kupotosha,
nani aliokwambia hauwezi kujitoa nssf mpaka umri wa kustaafu ufike? Jipange wewe kila•za
 


Weh! usiombee hii kitu icollapse huko mbele, tutacollapse wengi maana kuna chenji yetu nyingi sana kule, hapa nilipo nasubiri nifikishe miaka yangu 55 nistaafu nivute chenji yangu.

Halafu mkuu uloanzisha mada, watu wanapewa chenji yao ukishaacha au kuachishwa kazi ila inabidi usubiri baada ya mienzi sita. au labda tu kama unaondoka nchini kabisa hurudi au unaenda kusoma unaweza kupewa chap chap ! mambo mengine tembelea ofisi zao watakujuza zaidi.
 
Mwalimu wako anapata tabu sana kukuelewesha,kama haujui ni vyema kukaa kimya na sio kupotosha,
nani aliokwambia hauwezi kujitoa nssf mpaka umri wa kustaafu ufike? Jipange wewe kila•za

Kweli wewe tube-light! yaani na sheria umewekewa bado unabisha? Ignorance is bliss!!
 

Yote unayosema yana ukweli, hasa hilo la interest maana social security za nchi nyingi zinakusanya interest, lakini sheria ndo inaamua nini ni fraud.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…