Swali kwa TRA kuhusu makato ya kodi kwa wafanyabiashara waliopo VAT na Non VAT registered

Swali kwa TRA kuhusu makato ya kodi kwa wafanyabiashara waliopo VAT na Non VAT registered

mangiTz

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2019
Posts
1,820
Reaction score
3,062
Habari Wana JF.

TRA Tanzania naomba ufafanuzi kwanini mfanyabiashara ambaye hayuko VAT akiuza bidhaa Kodi yake haikatwi kwenye faida badala yake anakatwa katika mtaji na faida kitu ambacho Kodi inakuwa kubwa ambayo inaelekea pengine wengi hukwepa Kodi(yaani kutoprint risiti za EFD)

Mtu aliyesajiliwa VAT Kodi yake inakatwa kwenye faida tu hivyo Hana hasara kuprint risiti na Wala Hana hoja mtu huyu kukwepa kuprint risiti

Bidhaa zingine zinakuwa Zina limit katika kuuza au zinakuwa Bei elekezi na bidhaa zenye Bei elekezi Huwa Zina faida ndogo hivyo huyu ambae hayupo kwenye VAT akiprint risiti almost faida yote inaenda TRA. Mf bidhaa inauzwa laki 1 faida yake elfu 20, aliyesajiliwa VAT Kodi inakatwa kwenye elfu 20 (20,000×18%\118%) =3,050/

Ambae hajasajiliwa VAT Kodi yake inakatwa kwenye laki Moja (100,000×18%\118%)= 15,254/

Hapo unaona tofauti iliyopo mmoja analipa kodi Tzs 3,050 mwingine Tzs15,254/

Hii inafanya wafanyabiashara kukwepa Kodi ambao hawapo registered VAT , Sasa kwanini hii rate iwe sawa kwa watu wawili? Ufafanuzi kidogo
 
Unatakiwa urudi kusoma concept ya VAT...na kodi kwa ujumla. kuna maeneo unajivuruga.

VAT hulipi wewe mfanya biashara, hii inalipwa na mteja.

Kwa Bidhaa ambayo manunuzi yake ni sh 80,000/- na unalenga kuuza kwa 100,000/- ilikupata 20,000/- kama faida. Mteja akija unapaswa kumuuzia kwa (100,000 x 18%) = ambayo ni sawa na 118,000/-. Hii 18,000/- ilioongezeka hapo ndio VAT unayopaswa kupeleka TRA. (Kumbuka iyo 18,000/- sio pesa yako, ni ya serikali)

Hivyo faida yako inabaki kuwa 20,000/- ila ikumbukwe, iyo 20,000/- ni pato katika biashara yako ambayo unapaswa kulipia ushuru wa mapato, ambayo ni 30% (6000/-). ila hii ni baada ya kupunguza gharama zote za uendeshaji.

Kwa mteja asiye na VAT, akanunua mzigo kwa 80,000/- na kuuza kwa 100,000/- ili kupata faida ya 20,000/-. yeye atapaswa kulipa ushuru wa mapato ambao ni 30% ya 20,000/- pia baada ya kuondoa gharama zake za uendeshaji.


Ni wazi kwamba mfanyabiashara asiena VAT atauza kwa bei ndogo zaidi kuliko yule aliekuwa registered na VAT.
 
Unatakiwa urudi kusoma concept ya VAT...na kodi kwa ujumla. kuna maeneo unajivuruga.

VAT hulipi wewe mfanya biashara, hii inalipwa na mteja.

K

Ni wazi kwamba mfanyabiashara asiena VAT atauza kwa bei ndogo zaidi kuliko yule aliekuwa registered na VAT.
Nafikiri hapa ndo sehemu(shule) pia ya kupata elimu ndio maana nimeamua kuomba clarification hapa , ahsante
 
Habari Wana jf.

TRA Tanzania naomba ufafanuzi kwanini mfanyabiashara ambaye hayuko VAT akiuza bidhaa Kodi yake haikatwi kwenye faida badala yake anakatwa katika mtaji na faida kitu ambacho Kodi inakuwa kubwa ambayo inaelekea pengine wengi hukwepa Kodi(yaani kutoprint risiti za EFD)

Mtu aliyesajiliwa VAT Kodi yake inakatwa kwenye faida tu hivyo Hana hasara kuprint risiti na Wala Hana hoja mtu huyu kukwepa kuprint risiti

Bidhaa zingine zinakuwa Zina limit katika kuuza au zinakuwa Bei elekezi na bidhaa zenye Bei elekezi Huwa Zina faida ndogo hivyo huyu ambae hayupo kwenye VAT akiprint risiti almost faida yote inaenda TRA. Mf bidhaa inauzwa laki 1 faida yake elfu 20 , aliyesajiliwa VAT Kodi inakatwa kwenye elfu 20 (20,000×18%\118%) =3,050/

Ambae hajasajiliwa VAT Kodi yake inakatwa kwenye laki Moja (100,000×18%\118%)= 15,254/

Hapo unaona tofauti iliyopo mmoja analipa kodi Tzs 3,050 mwingine Tzs15,254/

Hii inafanya wafanyabiashara kukwepa Kodi ambao hawapo registered VAT , Sasa kwanini hii rate iwe sawa kwa watu wawili? Ufafanuzi kidogo
UONGO! Tena wa VAT ndio analipa pakubwa kwa kuwa hana cha negotiations!

wee ambaye hauko VAT unaenda kufanyiwa assessment ya biashara yako unaeza lipa laki 9 wakat mwaka mzima umefanya biashara ya 50M
 
Nafikiri hapa ndo sehemu(shule) pia ya kupata elimu ndio maana nimeamua kuomba clarification hapa , ahsante
Unatakiwa urudi kusoma concept ya VAT...na kodi kwa ujumla. kuna maeneo unajivuruga.

VAT hulipi wewe mfanya biashara, hii inalipwa na mteja.

Kwa Bidhaa ambayo manunuzi yake ni sh 80,000/- na unalenga kuuza kwa 100,000/- ilikupata 20,000/- kama faida. Mteja akija unapaswa kumuuzia kwa (100,000 x 18%) = ambayo ni sawa na 118,000/-. Hii 18,000/- ilioongezeka hapo ndio VAT unayopaswa kupeleka TRA. (Kumbuka iyo 18,000/- sio pesa yako, ni ya serikali)

Hivyo faida yako inabaki kuwa 20,000/- ila ikumbukwe, iyo 20,000/- ni pato katika biashara yako ambayo unapaswa kulipia ushuru wa mapato, ambayo ni 30% (6000/-). ila hii ni baada ya kupunguza gharama zote za uendeshaji.

Kwa mteja asiye na VAT, akanunua mzigo kwa 80,000/- na kuuza kwa 100,000/- ili kupata faida ya 20,000/-. yeye atapaswa kulipa ushuru wa mapato ambao ni 30% ya 20,000/- pia baada ya kuondoa gharama zake za uendeshaji.


Ni wazi kwamba mfanyabiashara asiena VAT atauza kwa bei ndogo zaidi kuliko yule aliekuwa registered na VAT.
Kwenye VAT nimekuelewa , huku kwingine bado mfanyabiashara asiysajiliwa VAT atalipa 30% ya mapato , kwahiyo hii 18% ndo anatakiwa aichaji kwa mteja au
 
Biashara ya kuanzia mapato 0 mpaka milioni 100 hawa woyte wanafanyiwa makadirio na kulipa kodi kulingana na mapato yao na siyo kweli kwamba ukizidi 100 lazima usajiliwe VAT. Unaweza kuwa unafikisha milioni 100 kwa mwaka lakini biahsra unayofanya haina VAT.
Lakini chini ya milioni 100 hujakatazwa kutengeneza mahesabu kumbuka hii ilikuwepo wakati ule ambapo wenye mauzo zaidi ya milioni 20 kwa mwaka lakini wengi waliona kama kiwango ni kidogo kutokana na garama za kuandaa mahesabu.
Kumbuka chini ya milioni 100 unaweza omba kuandaa mahesabu na kuwasilisha TRA siyo kosa ila kwa wale wanaopata zaidi ya milioni 100 hao ni lazima kwa mujibu wa sheria
 
UONGO! Tena wa VAT ndio analipa pakubwa kwa kuwa hana cha negotiations!

wee ambaye hauko VAT unaenda kufanyiwa assessment ya biashara yako unaeza lipa laki 9 wakat mwaka mzima umefanya biashara ya 5

Biashara ya kuanzia mapato 0 mpaka milioni 100 hawa woyte wanafanyiwa makadirio na kulipa kodi kulingana na mapato yao na siyo kweli kwamba ukizidi 100 lazima usajiliwe VAT. Unaweza kuwa unafikisha milioni 100 kwa mwaka lakini biahsra unayofanya haina VAT.
Lakini chini ya milioni 100 hujakatazwa kutengeneza mahesabu kumbuka hii ilikuwepo wakati ule ambapo wenye mauzo zaidi ya milioni 20 kwa mwaka lakini wengi waliona kama kiwango ni kidogo kutokana na garama za kuandaa mahesabu.
Kumbuka chini ya milioni 100 unaweza omba kuandaa mahesabu na kuwasilisha TRA siyo kosa ila kwa wale wanaopata zaidi ya milioni 100 hao ni lazima kwa mujibu wa sheria
Ahsante
 
Biashara ya kuanzia mapato 0 mpaka milioni 100 hawa woyte wanafanyiwa makadirio na kulipa kodi kulingana na mapato yao na siyo kweli kwamba ukizidi 100 lazima usajiliwe VAT. Unaweza kuwa unafikisha milioni 100 kwa mwaka lakini biahsra unayofanya haina VAT.
Lakini chini ya milioni 100 hujakatazwa kutengeneza mahesabu kumbuka hii ilikuwepo wakati ule ambapo wenye mauzo zaidi ya milioni 20 kwa mwaka lakini wengi waliona kama kiwango ni kidogo kutokana na garama za kuandaa mahesabu.
Kumbuka chini ya milioni 100 unaweza omba kuandaa mahesabu na kuwasilisha TRA siyo kosa ila kwa wale wanaopata zaidi ya milioni 100 hao ni lazima kwa mujibu wa sheria
Hivi kwa mfano anauza zaidi 100m na bidhaa nazouza hazina VAT mfano gas ya kupikia hapo makadirio yanakuwaje?
 
Biashara ya kuanzia mapato 0 mpaka milioni 100 hawa woyte wanafanyiwa makadirio na kulipa kodi kulingana na mapato yao na siyo kweli kwamba ukizidi 100 lazima usajiliwe VAT. Unaweza kuwa unafikisha milioni 100 kwa mwaka lakini biahsra unayofanya haina VAT.
Lakini chini ya milioni 100 hujakatazwa kutengeneza mahesabu kumbuka hii ilikuwepo wakati ule ambapo wenye mauzo zaidi ya milioni 20 kwa mwaka lakini wengi waliona kama kiwango ni kidogo kutokana na garama za kuandaa mahesabu.
Kumbuka chini ya milioni 100 unaweza omba kuandaa mahesabu na kuwasilisha TRA siyo kosa ila kwa wale wanaopata zaidi ya milioni 100 hao ni lazima kwa mujibu wa sheria
Dah sheria na Sera mnazosimamia zilizotungwa na bunge , zinafanya muonekane vilaza , wa hovyo.. Kwa sababu zimetungwa na wabunge kama akina Msukuma.
 
Back
Top Bottom