Swali kwa Viongozi/Wanasiasa Wetu: Kama Waliuona Udhalimu wa Awamu Iliyopita, na Wakaunyamazia, Is it Right Kuusema Sasa au Waendelee Kunyamaza?.

Swali kwa Viongozi/Wanasiasa Wetu: Kama Waliuona Udhalimu wa Awamu Iliyopita, na Wakaunyamazia, Is it Right Kuusema Sasa au Waendelee Kunyamaza?.

Pascal Mayalla

Platinum Member
Joined
Sep 22, 2008
Posts
53,857
Reaction score
121,995
Wanabodi,
Kama kawaida yangu kila nipatapo fursa, huja na makala zangu hizi za 'Kwa Maslahi ya Taifa" nikiandika kuhusu jambo lolote la kisiasa, kiuchumi ua kijamii kuhabarisha, kuelimisha na kuburudisha, ikiwemo kupongeza, kukosoa, au kushauri kupitia ushauri wa bure kwa mtindo wa swali, halafu jibu utalitoa mwenyewe.

Makala ya leo ni swali la ushauri wa bure kwa viongozi wetu, na haswa wanasiasa wetu, kuhusu kitu kinachoitwa Karma, japo ni kitu cha kufikirika tuu, lakini kipo na kinafanya kazi, yaani Karma is Real!.

Swali lenyewe ni kwa viongozi na wanasiasa wetu wa awamu iliyopita ambao bado wapo kwenye awamu hii, kama waliuona udhalimu wowote wa awamu Iliyopita, na wakaunyamazia, is it right kuusema sasa kwenye awamu hii au kwa vile waliona na wakanyama, ni bora waendelee kunyamaza?.

Naanza bandiko hili kwa maneno ya Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere "Awamu yetu ilikuwa na mazuri yake, na mengine ya kijinga" . Kauli hii ni kuthibitisha serikali za awamu mbalimbali zinaweza kufanya mambo mema na mazuri, lakini pia zinaweza kufanya mambo mabaya na ya kijinga ukiwemo udhalimu!. Kuhusu hili la udhalimu niliwahi kushauri Elections 2015 - Kama Hii ni Kweli, Then, Serikali Yetu ni Serikali Dhalimu?, Haramu?. Hukumu ya Karma ii Juu Yake!

Huu ni ushauri kwa viongozi wetu, kama kuna mambo mabaya ya udhalimu wa awamu iliyopita, ukayaona na dhamira yako ikakuambia they are not right, lakini kwa sababu ya uoga, akaamua kunyamaza na kuunyamazia huo udhalimu, then jee tuwashauri, kwa vile waliouona huo udhalimu na kuunyamazia, hata baada ya kuingia awamu nyingine, wao waendelee kunyamaza and take their secrets to their graves?.

Kama wakati mambo ya kidhalimu yanatendeka, wewe kiongozi ukiona na ulinyamaza na hukusema wala kukemea, kwa mujibu wa sheria ya karma, mtu unahukumiwa kwa matendo yako tuu na sio kwa mawazo yako au kwa maneno yako.

Ila mtu ukiona maovu yanatendeka na ukanyamaza kimya bila kukemea, karma inakuhesabu wewe ni mshirika wa uovu ule, kitendo cha kuona na kunyamaza, kinakufanya wewe kuwa ni sehemu ya uovu ule as an accessory either before the facts or after the facts. Karma will only spare you kama utaendelea kunyamaza na salama yako ya karma isikurudi ni kwasababu mtendaji uovu huo, au udhalimu huo sio wewe!, wewe kosa lako ni kujua/kuona uovu unatendeka, hukukemea, hukuzuia.

Lakini kwa awamu hii ya sasa, wewe uliyeunyamazia uovu wa awamu iliyopita, hauna the audacity wa kuutaja uovu wowote wa awamu iliyopita kwasababu uliunyamazia wakati ukitendeka. Watu pekee wenye uwezo wa kuzungumzia uovu, udhaifu na udhalimu wa awamu iliyopita ni wale tuu ambao walisimama imara, wakaupinga, wakausema na wakaulalamikia uovu huo wakati ukitendeka, ili kuuzuia.

Hawa viongozi wa sasa na wanasiasa wa sasa wanao izungumzia awamu iliyopita in a negative way, lakini enzi zile walikuwepo na walinyamaza, karma ya maovu na udhalimu wa awamu iliyopita, haitawaacha salama, lazima itawashughulikia tuu, kwa kuyasema sasa ni kuwahesabu ni kama kumsema vibaya marehemu ambaye hawezi kujitetea!, hivyo ki karma, kosa hilo ni kosa kama kosa la the consecration of the dead!.

Nimetoa ushauri huu, kufuatia baadhi ya viongozi wetu na wanasiasa wetu wa sasa ambao pia waliokuwepo awamu iliyopita na sasa wapo awamu hii, wakikosoa baadhi ya mambo ya awamu iliyopita, ambapo enzi hizo yakifanyika waliona na walinyamaza, sasa Mama anarekebisha mambo, ndio tunawaona sasa wakiibuka na kuanza kusema!.

Naendelea kusisitiza ile haki ya kuona kitu au kusikia kitu na kunyamaza, Swali la Morality: Je, ni lazima kuusema kila ukweli unaousikia au tutangulize mbele maslahi ya Taifa?
ukiisha amua kunyamaza, ni unanyamaza mpaka mwisho!, na sio ulinyamaza enzi zile uovu na udhalimu unafanyika, halafu sasa leo baada ya kuona Mama ana fanya mambo, ndio sasa na wewe ndio unaongea!. Karma itakutafuna!.

Ushauri kama huu pia niliwahi kuutoa kwa wanasiasa hama hama Angalizo kwa Wanasiasa hamahama; Japo ni haki yenu lakini msisahau fadhila. Kuweni watu wa shukrani, mtabarikiwa sana, vinginevyo karma Itawahusu!

Hitimisho
Nimalizie kwa lile swali la bandiko hili kwa viongozi na wanasiasa wetu wa awamu iliyopita ambao bado wapo kwenye awamu hii, kama waliuona udhalimu wowote wa awamu Iliyopita, na wakaunyamazia, is it right kuusema sasa kwenye awamu hii au kwa vile waliona na wakanyama, ni bora waendelee kunyamaza?.

Kwa wasioijua karma ni nini karibu mitaa hii "The Power of 'Karma'- Ndio Hukumu Pekee ya Haki Kamili Hapa Duniani!, Unahukumiwa kwa Matendo Yako!

Waseme au wanyamaze?
Paskali
Rejea za baadhi ya mandiko ya kukemea wakati wenyewe wangalipo.
 
... wakati mwingine ni busara kunyamaza kichaa apite salama kuepusha maafa.

Kuendelea kuunyamazia udhalimu ni sawa na kuu-support; wacha kizazi hiki na vijavyo vipate somo. Jitu la aina ile lisipewe tena nafasi kamwe katika nchi yetu.
 
Swali lenyewe ni kwa viongozi na wanasiasa wetu wa awamu iliyopita ambao bado wapo kwenye awamu hii, kama waliuona udhalimu wowote wa awamu Iliyopita, na wakaunyamazia, is it right kuusema sasa kwenye awamu hii au kwa vile waliona na wakanyama, ni bora waendelee kunyamaza?
Acha waseme tu Ili iwe fundisho kwa watawala wa mbeleni..
Awamu ya 5 wangesema kweli wangeishia kutekwa na kuonewa!
 
Wanabodi,
Kama kawaida yangu kila nipatapo fursa, huja na makala zangu hizi za 'Kwa Maslahi ya Taifa" nikiandika kuhusu jambo lolote la kisiasa, kiuchumi ua kijamii kuhabarisha, kuelimisha na kuburudisha, ikiwemo kupongeza, kukosoa, au kushauri kupitia ushauri wa bure kwa mtindo wa swali, halafu jibu utalitoa mwenyewe.

Makala ya leo ni swali la ushauri wa bure kwa viongozi wetu, na haswa wanasiasa wetu, kuhusu kitu kinachoitwa Karma, japo ni kitu cha kufikirika tuu, lakini kipo na kinafanya kazi, yaani Karma is Real!.

Swali lenyewe ni kwa viongozi na wanasiasa wetu wa awamu iliyopita ambao bado wapo kwenye awamu hii, kama waliuona udhalimu wowote wa awamu Iliyopita, na wakaunyamazia, is it right kuusema sasa kwenye awamu hii au kwa vile waliona na wakanyama, ni bora waendelee kunyamaza?.

Naanza bandiko hili kwa maneno ya Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere "Awamu yetu ilikuwa na mazuri yake, na mengine ya kijinga" . Kauli hii ni kuthibitisha serikali za awamu mbalimbali zinaweza kufanya mambo mema na mazuri, lakini pia zinaweza kufanya mambo mabaya na ya kijinga ukiwemo udhalimu!. Kuhusu hili la udhalimu niliwahi kushauri Elections 2015 - Kama Hii ni Kweli, Then, Serikali Yetu ni Serikali Dhalimu?, Haramu?. Hukumu ya Karma ii Juu Yake!

Huu ni ushauri kwa viongozi wetu, kama kuna mambo mabaya ya udhalimu wa awamu iliyopita, ukayaona na dhamira yako ikakuambia they are not right, lakini kwa sababu ya uoga, akaamua kunyamaza na kuunyamazia huo udhalimu, then jee tuwashauri, kwa vile waliouona huo udhalimu na kuunyamazia, hata baada ya kuingia awamu nyingine, wao waendelee kunyamaza and take their secrets to their graves?.

Kama wakati mambo ya kidhalimu yanatendeka, wewe kiongozi ukiona na ulinyamaza na hukusema wala kukemea, kwa mujibu wa sheria ya karma, mtu unahukumiwa kwa matendo yako tuu na sio kwa mawazo yako au kwa maneno yako.

Ila mtu ukiona maovu yanatendeka na ukanyamaza kimya bila kukemea, karma inakuhesabu wewe ni mshirika wa uovu ule, kitendo cha kuona na kunyamaza, kinakufanya wewe kuwa ni sehemu ya uovu ule as an accessory either before the facts or after the facts. Karma will only spare you kama utaendelea kunyamaza na salama yako ya karma isikurudi ni kwasababu mtendaji uovu huo, au udhalimu huo sio wewe!, wewe kosa lako ni kujua/kuona uovu unatendeka, hukukemea, hukuzuia.

Lakini kwa awamu hii ya sasa, wewe uliyeunyamazia uovu wa awamu iliyopita, hauna the audacity wa kuutaja uovu wowote wa awamu iliyopita kwasababu uliunyamazia wakati ukitendeka. Watu pekee wenye uwezo wa kuzungumzia uovu, udhaifu na udhalimu wa awamu iliyopita ni wale tuu ambao walisimama imara, wakaupinga, wakausema na wakaulalamikia uovu huo wakati ukitendeka, ili kuuzuia.

Hawa viongozi wa sasa na wanasiasa wa sasa wanao izungumzia awamu iliyopita in a negative way, lakini enzi zile walikuwepo na walinyamaza, karma ya maovu na udhalimu wa awamu iliyopita, haitawaacha salama, lazima itawashughulikia tuu, kwa kuyasema sasa ni kuwahesabu ni kama kumsema vibaya marehemu ambaye hawezi kujitetea!, hivyo ki karma, kosa hilo ni kosa kama kosa la the consecration of the dead!.

Nimetoa ushauri huu, kufuatia baadhi ya viongozi wetu na wanasiasa wetu wa sasa ambao pia waliokuwepo awamu iliyopita na sasa wapo awamu hii, wakikosoa baadhi ya mambo ya awamu iliyopita, ambapo enzi hizo yakifanyika waliona na walinyamaza, sasa Mama anarekebisha mambo, ndio tunawaona sasa wakiibuka na kuanza kusema!.

Naendelea kusisitiza ile haki ya kuona kitu au kusikia kitu na kunyamaza, Swali la Morality: Je, ni lazima kuusema kila ukweli unaousikia au tutangulize mbele maslahi ya Taifa?
ukiisha amua kunyamaza, ni unanyamaza mpaka mwisho!, na sio ulinyamaza enzi zile uovu na udhalimu unafanyika, halafu sasa leo baada ya kuona Mama ana fanya mambo, ndio sasa na wewe ndio unaongea!. Karma itakutafuna!.

Ushauri kama huu pia niliwahi kuutoa kwa wanasiasa hama hama Angalizo kwa Wanasiasa hamahama; Japo ni haki yenu lakini msisahau fadhila. Kuweni watu wa shukrani, mtabarikiwa sana, vinginevyo karma Itawahusu!

Hitimisho
Nimalizie kwa lile swali la bandiko hili kwa viongozi na wanasiasa wetu wa awamu iliyopita ambao bado wapo kwenye awamu hii, kama waliuona udhalimu wowote wa awamu Iliyopita, na wakaunyamazia, is it right kuusema sasa kwenye awamu hii au kwa vile waliona na wakanyama, ni bora waendelee kunyamaza?.

Waseme au wanyamaze?
Paskali
Rejea za baadhi ya mandiko ya kukemea wakati wenyewe wangalipo.
Ni sawa kusema sasa hasa wakati huu hata wewe P.Husimangwi kuwa unasema kwa sababu ya njaa(Mayala kikwetu).Kumbuka hakuna vifungo holela,hakuna faini za 25ml.,hakuna fungia gazeti miezi ile mitatu,au bila kujua mwisho wa kifungo,hakuna kamata kamata za akina P,na kushikiliwa press card😂
 
Wanabodi,
Kama kawaida yangu kila nipatapo fursa, huja na makala zangu hizi za 'Kwa Maslahi ya Taifa" nikiandika kuhusu jambo lolote la kisiasa, kiuchumi ua kijamii kuhabarisha, kuelimisha na kuburudisha, ikiwemo kupongeza, kukosoa, au kushauri kupitia ushauri wa bure kwa mtindo wa swali, halafu jibu utalitoa mwenyewe.

Makala ya leo ni swali la ushauri wa bure kwa viongozi wetu, na haswa wanasiasa wetu, kuhusu kitu kinachoitwa Karma, japo ni kitu cha kufikirika tuu, lakini kipo na kinafanya kazi, yaani Karma is Real!.

Swali lenyewe ni kwa viongozi na wanasiasa wetu wa awamu iliyopita ambao bado wapo kwenye awamu hii, kama waliuona udhalimu wowote wa awamu Iliyopita, na wakaunyamazia, is it right kuusema sasa kwenye awamu hii au kwa vile waliona na wakanyama, ni bora waendelee kunyamaza?.

Naanza bandiko hili kwa maneno ya Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere "Awamu yetu ilikuwa na mazuri yake, na mengine ya kijinga" . Kauli hii ni kuthibitisha serikali za awamu mbalimbali zinaweza kufanya mambo mema na mazuri, lakini pia zinaweza kufanya mambo mabaya na ya kijinga ukiwemo udhalimu!. Kuhusu hili la udhalimu niliwahi kushauri Elections 2015 - Kama Hii ni Kweli, Then, Serikali Yetu ni Serikali Dhalimu?, Haramu?. Hukumu ya Karma ii Juu Yake!

Huu ni ushauri kwa viongozi wetu, kama kuna mambo mabaya ya udhalimu wa awamu iliyopita, ukayaona na dhamira yako ikakuambia they are not right, lakini kwa sababu ya uoga, akaamua kunyamaza na kuunyamazia huo udhalimu, then jee tuwashauri, kwa vile waliouona huo udhalimu na kuunyamazia, hata baada ya kuingia awamu nyingine, wao waendelee kunyamaza and take their secrets to their graves?.

Kama wakati mambo ya kidhalimu yanatendeka, wewe kiongozi ukiona na ulinyamaza na hukusema wala kukemea, kwa mujibu wa sheria ya karma, mtu unahukumiwa kwa matendo yako tuu na sio kwa mawazo yako au kwa maneno yako.

Ila mtu ukiona maovu yanatendeka na ukanyamaza kimya bila kukemea, karma inakuhesabu wewe ni mshirika wa uovu ule, kitendo cha kuona na kunyamaza, kinakufanya wewe kuwa ni sehemu ya uovu ule as an accessory either before the facts or after the facts. Karma will only spare you kama utaendelea kunyamaza na salama yako ya karma isikurudi ni kwasababu mtendaji uovu huo, au udhalimu huo sio wewe!, wewe kosa lako ni kujua/kuona uovu unatendeka, hukukemea, hukuzuia.

Lakini kwa awamu hii ya sasa, wewe uliyeunyamazia uovu wa awamu iliyopita, hauna the audacity wa kuutaja uovu wowote wa awamu iliyopita kwasababu uliunyamazia wakati ukitendeka. Watu pekee wenye uwezo wa kuzungumzia uovu, udhaifu na udhalimu wa awamu iliyopita ni wale tuu ambao walisimama imara, wakaupinga, wakausema na wakaulalamikia uovu huo wakati ukitendeka, ili kuuzuia.

Hawa viongozi wa sasa na wanasiasa wa sasa wanao izungumzia awamu iliyopita in a negative way, lakini enzi zile walikuwepo na walinyamaza, karma ya maovu na udhalimu wa awamu iliyopita, haitawaacha salama, lazima itawashughulikia tuu, kwa kuyasema sasa ni kuwahesabu ni kama kumsema vibaya marehemu ambaye hawezi kujitetea!, hivyo ki karma, kosa hilo ni kosa kama kosa la the consecration of the dead!.

Nimetoa ushauri huu, kufuatia baadhi ya viongozi wetu na wanasiasa wetu wa sasa ambao pia waliokuwepo awamu iliyopita na sasa wapo awamu hii, wakikosoa baadhi ya mambo ya awamu iliyopita, ambapo enzi hizo yakifanyika waliona na walinyamaza, sasa Mama anarekebisha mambo, ndio tunawaona sasa wakiibuka na kuanza kusema!.

Naendelea kusisitiza ile haki ya kuona kitu au kusikia kitu na kunyamaza, Swali la Morality: Je, ni lazima kuusema kila ukweli unaousikia au tutangulize mbele maslahi ya Taifa?
ukiisha amua kunyamaza, ni unanyamaza mpaka mwisho!, na sio ulinyamaza enzi zile uovu na udhalimu unafanyika, halafu sasa leo baada ya kuona Mama ana fanya mambo, ndio sasa na wewe ndio unaongea!. Karma itakutafuna!.

Ushauri kama huu pia niliwahi kuutoa kwa wanasiasa hama hama Angalizo kwa Wanasiasa hamahama; Japo ni haki yenu lakini msisahau fadhila. Kuweni watu wa shukrani, mtabarikiwa sana, vinginevyo karma Itawahusu!

Hitimisho
Nimalizie kwa lile swali la bandiko hili kwa viongozi na wanasiasa wetu wa awamu iliyopita ambao bado wapo kwenye awamu hii, kama waliuona udhalimu wowote wa awamu Iliyopita, na wakaunyamazia, is it right kuusema sasa kwenye awamu hii au kwa vile waliona na wakanyama, ni bora waendelee kunyamaza?.

Waseme au wanyamaze?
Paskali
Rejea za baadhi ya mandiko ya kukemea wakati wenyewe wangalipo.
P,hata wewe ulinyamaza kama sio kunyamazishwa,je vipi kwa hao wana sii hasaa🤔
 
Kiunagaubaga...."....Hawana haki yeyote ile...."
Kama hawawezi kutueleza kwanini "waliufyata' basi hawana haki ya kusema lelote lile.....Wanyamaze na waufyate.

Yaani haiwezekani wote tuwekwe kwenye hili kapu la 'Wajinga'

Collective imbecilization?
 
Kiunagaubaga...."....Hawana haki yeyote ile...."
Kama hawawezi kutueleza kwanini "waliufyata' basi hawana haki ya kusema lelote lile.....Wanyamaze na waufyate.

Yaani haiwezekani wote tuwekwe kwenye hili kapu la 'Wajinga'

Collective imbecilization?
Muulize na P,kwanini aliamua ama kunyamaza,au kuunga mkono yale mapambio ya kusifu na kuabudu 😂
 
Viongozi na wanasiasa wetu wakliamua kunyamaza ili kunusuru maisha yao. Maana kiongozi wa awamu "ile" alikuwa hana simile ktk suala la kumwaga damu ama kutoa uhai wa mtu yeyote.

Mifano ipo mingi ambayo mleta mada pia kwa taaluma na shughuli zako kama ukiamua kuitendea haki nafsi na jamii yako unaweza kuwataja waathirika wa moja kwa moja wa utawala ule.

Ndiyo maana kila mtu yuko huru sasa kueleza maovu ya awamu ile maana nduli mtoa roho tayari katolewa roho.
 
Wanabodi,
Kama kawaida yangu kila nipatapo fursa, huja na makala zangu hizi za 'Kwa Maslahi ya Taifa" nikiandika kuhusu jambo lolote la kisiasa, kiuchumi ua kijamii kuhabarisha, kuelimisha na kuburudisha, ikiwemo kupongeza, kukosoa, au kushauri kupitia ushauri wa bure kwa mtindo wa swali, halafu jibu utalitoa mwenyewe.

Makala ya leo ni swali la ushauri wa bure kwa viongozi wetu, na haswa wanasiasa wetu, kuhusu kitu kinachoitwa Karma, japo ni kitu cha kufikirika tuu, lakini kipo na kinafanya kazi, yaani Karma is Real!.

Swali lenyewe ni kwa viongozi na wanasiasa wetu wa awamu iliyopita ambao bado wapo kwenye awamu hii, kama waliuona udhalimu wowote wa awamu Iliyopita, na wakaunyamazia, is it right kuusema sasa kwenye awamu hii au kwa vile waliona na wakanyama, ni bora waendelee kunyamaza?.

Naanza bandiko hili kwa maneno ya Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere "Awamu yetu ilikuwa na mazuri yake, na mengine ya kijinga" . Kauli hii ni kuthibitisha serikali za awamu mbalimbali zinaweza kufanya mambo mema na mazuri, lakini pia zinaweza kufanya mambo mabaya na ya kijinga ukiwemo udhalimu!. Kuhusu hili la udhalimu niliwahi kushauri Elections 2015 - Kama Hii ni Kweli, Then, Serikali Yetu ni Serikali Dhalimu?, Haramu?. Hukumu ya Karma ii Juu Yake!

Huu ni ushauri kwa viongozi wetu, kama kuna mambo mabaya ya udhalimu wa awamu iliyopita, ukayaona na dhamira yako ikakuambia they are not right, lakini kwa sababu ya uoga, akaamua kunyamaza na kuunyamazia huo udhalimu, then jee tuwashauri, kwa vile waliouona huo udhalimu na kuunyamazia, hata baada ya kuingia awamu nyingine, wao waendelee kunyamaza and take their secrets to their graves?.

Kama wakati mambo ya kidhalimu yanatendeka, wewe kiongozi ukiona na ulinyamaza na hukusema wala kukemea, kwa mujibu wa sheria ya karma, mtu unahukumiwa kwa matendo yako tuu na sio kwa mawazo yako au kwa maneno yako.

Ila mtu ukiona maovu yanatendeka na ukanyamaza kimya bila kukemea, karma inakuhesabu wewe ni mshirika wa uovu ule, kitendo cha kuona na kunyamaza, kinakufanya wewe kuwa ni sehemu ya uovu ule as an accessory either before the facts or after the facts. Karma will only spare you kama utaendelea kunyamaza na salama yako ya karma isikurudi ni kwasababu mtendaji uovu huo, au udhalimu huo sio wewe!, wewe kosa lako ni kujua/kuona uovu unatendeka, hukukemea, hukuzuia.

Lakini kwa awamu hii ya sasa, wewe uliyeunyamazia uovu wa awamu iliyopita, hauna the audacity wa kuutaja uovu wowote wa awamu iliyopita kwasababu uliunyamazia wakati ukitendeka. Watu pekee wenye uwezo wa kuzungumzia uovu, udhaifu na udhalimu wa awamu iliyopita ni wale tuu ambao walisimama imara, wakaupinga, wakausema na wakaulalamikia uovu huo wakati ukitendeka, ili kuuzuia.

Hawa viongozi wa sasa na wanasiasa wa sasa wanao izungumzia awamu iliyopita in a negative way, lakini enzi zile walikuwepo na walinyamaza, karma ya maovu na udhalimu wa awamu iliyopita, haitawaacha salama, lazima itawashughulikia tuu, kwa kuyasema sasa ni kuwahesabu ni kama kumsema vibaya marehemu ambaye hawezi kujitetea!, hivyo ki karma, kosa hilo ni kosa kama kosa la the consecration of the dead!.

Nimetoa ushauri huu, kufuatia baadhi ya viongozi wetu na wanasiasa wetu wa sasa ambao pia waliokuwepo awamu iliyopita na sasa wapo awamu hii, wakikosoa baadhi ya mambo ya awamu iliyopita, ambapo enzi hizo yakifanyika waliona na walinyamaza, sasa Mama anarekebisha mambo, ndio tunawaona sasa wakiibuka na kuanza kusema!.

Naendelea kusisitiza ile haki ya kuona kitu au kusikia kitu na kunyamaza, Swali la Morality: Je, ni lazima kuusema kila ukweli unaousikia au tutangulize mbele maslahi ya Taifa?
ukiisha amua kunyamaza, ni unanyamaza mpaka mwisho!, na sio ulinyamaza enzi zile uovu na udhalimu unafanyika, halafu sasa leo baada ya kuona Mama ana fanya mambo, ndio sasa na wewe ndio unaongea!. Karma itakutafuna!.

Ushauri kama huu pia niliwahi kuutoa kwa wanasiasa hama hama Angalizo kwa Wanasiasa hamahama; Japo ni haki yenu lakini msisahau fadhila. Kuweni watu wa shukrani, mtabarikiwa sana, vinginevyo karma Itawahusu!

Hitimisho
Nimalizie kwa lile swali la bandiko hili kwa viongozi na wanasiasa wetu wa awamu iliyopita ambao bado wapo kwenye awamu hii, kama waliuona udhalimu wowote wa awamu Iliyopita, na wakaunyamazia, is it right kuusema sasa kwenye awamu hii au kwa vile waliona na wakanyama, ni bora waendelee kunyamaza?.

Waseme au wanyamaze?
Paskali
Rejea za baadhi ya mandiko ya kukemea wakati wenyewe wangalipo.
Ntaisoma kesho nikitoka porini huku kwenye Rubby ngoja nihangaikie pesa kwanza ntarudi kesho alasiri
 
Wanabodi,
Kama kawaida yangu kila nipatapo fursa, huja na makala zangu hizi za 'Kwa Maslahi ya Taifa" nikiandika kuhusu jambo lolote la kisiasa, kiuchumi ua kijamii kuhabarisha, kuelimisha na kuburudisha, ikiwemo kupongeza, kukosoa, au kushauri kupitia ushauri wa bure kwa mtindo wa swali, halafu jibu utalitoa mwenyewe.

Makala ya leo ni swali la ushauri wa bure kwa viongozi wetu, na haswa wanasiasa wetu, kuhusu kitu kinachoitwa Karma, japo ni kitu cha kufikirika tuu, lakini kipo na kinafanya kazi, yaani Karma is Real!.

Swali lenyewe ni kwa viongozi na wanasiasa wetu wa awamu iliyopita ambao bado wapo kwenye awamu hii, kama waliuona udhalimu wowote wa awamu Iliyopita, na wakaunyamazia, is it right kuusema sasa kwenye awamu hii au kwa vile waliona na wakanyama, ni bora waendelee kunyamaza?.

Naanza bandiko hili kwa maneno ya Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere "Awamu yetu ilikuwa na mazuri yake, na mengine ya kijinga" . Kauli hii ni kuthibitisha serikali za awamu mbalimbali zinaweza kufanya mambo mema na mazuri, lakini pia zinaweza kufanya mambo mabaya na ya kijinga ukiwemo udhalimu!. Kuhusu hili la udhalimu niliwahi kushauri Elections 2015 - Kama Hii ni Kweli, Then, Serikali Yetu ni Serikali Dhalimu?, Haramu?. Hukumu ya Karma ii Juu Yake!

Huu ni ushauri kwa viongozi wetu, kama kuna mambo mabaya ya udhalimu wa awamu iliyopita, ukayaona na dhamira yako ikakuambia they are not right, lakini kwa sababu ya uoga, akaamua kunyamaza na kuunyamazia huo udhalimu, then jee tuwashauri, kwa vile waliouona huo udhalimu na kuunyamazia, hata baada ya kuingia awamu nyingine, wao waendelee kunyamaza and take their secrets to their graves?.

Kama wakati mambo ya kidhalimu yanatendeka, wewe kiongozi ukiona na ulinyamaza na hukusema wala kukemea, kwa mujibu wa sheria ya karma, mtu unahukumiwa kwa matendo yako tuu na sio kwa mawazo yako au kwa maneno yako.

Ila mtu ukiona maovu yanatendeka na ukanyamaza kimya bila kukemea, karma inakuhesabu wewe ni mshirika wa uovu ule, kitendo cha kuona na kunyamaza, kinakufanya wewe kuwa ni sehemu ya uovu ule as an accessory either before the facts or after the facts. Karma will only spare you kama utaendelea kunyamaza na salama yako ya karma isikurudi ni kwasababu mtendaji uovu huo, au udhalimu huo sio wewe!, wewe kosa lako ni kujua/kuona uovu unatendeka, hukukemea, hukuzuia.

Lakini kwa awamu hii ya sasa, wewe uliyeunyamazia uovu wa awamu iliyopita, hauna the audacity wa kuutaja uovu wowote wa awamu iliyopita kwasababu uliunyamazia wakati ukitendeka. Watu pekee wenye uwezo wa kuzungumzia uovu, udhaifu na udhalimu wa awamu iliyopita ni wale tuu ambao walisimama imara, wakaupinga, wakausema na wakaulalamikia uovu huo wakati ukitendeka, ili kuuzuia.

Hawa viongozi wa sasa na wanasiasa wa sasa wanao izungumzia awamu iliyopita in a negative way, lakini enzi zile walikuwepo na walinyamaza, karma ya maovu na udhalimu wa awamu iliyopita, haitawaacha salama, lazima itawashughulikia tuu, kwa kuyasema sasa ni kuwahesabu ni kama kumsema vibaya marehemu ambaye hawezi kujitetea!, hivyo ki karma, kosa hilo ni kosa kama kosa la the consecration of the dead!.

Nimetoa ushauri huu, kufuatia baadhi ya viongozi wetu na wanasiasa wetu wa sasa ambao pia waliokuwepo awamu iliyopita na sasa wapo awamu hii, wakikosoa baadhi ya mambo ya awamu iliyopita, ambapo enzi hizo yakifanyika waliona na walinyamaza, sasa Mama anarekebisha mambo, ndio tunawaona sasa wakiibuka na kuanza kusema!.

Naendelea kusisitiza ile haki ya kuona kitu au kusikia kitu na kunyamaza, Swali la Morality: Je, ni lazima kuusema kila ukweli unaousikia au tutangulize mbele maslahi ya Taifa?
ukiisha amua kunyamaza, ni unanyamaza mpaka mwisho!, na sio ulinyamaza enzi zile uovu na udhalimu unafanyika, halafu sasa leo baada ya kuona Mama ana fanya mambo, ndio sasa na wewe ndio unaongea!. Karma itakutafuna!.

Ushauri kama huu pia niliwahi kuutoa kwa wanasiasa hama hama Angalizo kwa Wanasiasa hamahama; Japo ni haki yenu lakini msisahau fadhila. Kuweni watu wa shukrani, mtabarikiwa sana, vinginevyo karma Itawahusu!

Hitimisho
Nimalizie kwa lile swali la bandiko hili kwa viongozi na wanasiasa wetu wa awamu iliyopita ambao bado wapo kwenye awamu hii, kama waliuona udhalimu wowote wa awamu Iliyopita, na wakaunyamazia, is it right kuusema sasa kwenye awamu hii au kwa vile waliona na wakanyama, ni bora waendelee kunyamaza?.

Waseme au wanyamaze?
Paskali
Rejea za baadhi ya mandiko ya kukemea wakati wenyewe wangalipo.
Hicho kichaka cha Magu mnachokitumia kuficha uozo kinaendelea kukauka mda si mrefu mtakosa la kuongea then ndipo mtampa heshima yake Magu.
 
Wanabodi,
Kama kawaida yangu kila nipatapo fursa, huja na makala zangu hizi za 'Kwa Maslahi ya Taifa" nikiandika kuhusu jambo lolote la kisiasa, kiuchumi ua kijamii kuhabarisha, kuelimisha na kuburudisha, ikiwemo kupongeza, kukosoa, au kushauri kupitia ushauri wa bure kwa mtindo wa swali, halafu jibu utalitoa mwenyewe.

Makala ya leo ni swali la ushauri wa bure kwa viongozi wetu, na haswa wanasiasa wetu, kuhusu kitu kinachoitwa Karma, japo ni kitu cha kufikirika tuu, lakini kipo na kinafanya kazi, yaani Karma is Real!.

Swali lenyewe ni kwa viongozi na wanasiasa wetu wa awamu iliyopita ambao bado wapo kwenye awamu hii, kama waliuona udhalimu wowote wa awamu Iliyopita, na wakaunyamazia, is it right kuusema sasa kwenye awamu hii au kwa vile waliona na wakanyama, ni bora waendelee kunyamaza?.

Naanza bandiko hili kwa maneno ya Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere "Awamu yetu ilikuwa na mazuri yake, na mengine ya kijinga" . Kauli hii ni kuthibitisha serikali za awamu mbalimbali zinaweza kufanya mambo mema na mazuri, lakini pia zinaweza kufanya mambo mabaya na ya kijinga ukiwemo udhalimu!. Kuhusu hili la udhalimu niliwahi kushauri Elections 2015 - Kama Hii ni Kweli, Then, Serikali Yetu ni Serikali Dhalimu?, Haramu?. Hukumu ya Karma ii Juu Yake!

Huu ni ushauri kwa viongozi wetu, kama kuna mambo mabaya ya udhalimu wa awamu iliyopita, ukayaona na dhamira yako ikakuambia they are not right, lakini kwa sababu ya uoga, akaamua kunyamaza na kuunyamazia huo udhalimu, then jee tuwashauri, kwa vile waliouona huo udhalimu na kuunyamazia, hata baada ya kuingia awamu nyingine, wao waendelee kunyamaza and take their secrets to their graves?.

Kama wakati mambo ya kidhalimu yanatendeka, wewe kiongozi ukiona na ulinyamaza na hukusema wala kukemea, kwa mujibu wa sheria ya karma, mtu unahukumiwa kwa matendo yako tuu na sio kwa mawazo yako au kwa maneno yako.

Ila mtu ukiona maovu yanatendeka na ukanyamaza kimya bila kukemea, karma inakuhesabu wewe ni mshirika wa uovu ule, kitendo cha kuona na kunyamaza, kinakufanya wewe kuwa ni sehemu ya uovu ule as an accessory either before the facts or after the facts. Karma will only spare you kama utaendelea kunyamaza na salama yako ya karma isikurudi ni kwasababu mtendaji uovu huo, au udhalimu huo sio wewe!, wewe kosa lako ni kujua/kuona uovu unatendeka, hukukemea, hukuzuia.

Lakini kwa awamu hii ya sasa, wewe uliyeunyamazia uovu wa awamu iliyopita, hauna the audacity wa kuutaja uovu wowote wa awamu iliyopita kwasababu uliunyamazia wakati ukitendeka. Watu pekee wenye uwezo wa kuzungumzia uovu, udhaifu na udhalimu wa awamu iliyopita ni wale tuu ambao walisimama imara, wakaupinga, wakausema na wakaulalamikia uovu huo wakati ukitendeka, ili kuuzuia.

Hawa viongozi wa sasa na wanasiasa wa sasa wanao izungumzia awamu iliyopita in a negative way, lakini enzi zile walikuwepo na walinyamaza, karma ya maovu na udhalimu wa awamu iliyopita, haitawaacha salama, lazima itawashughulikia tuu, kwa kuyasema sasa ni kuwahesabu ni kama kumsema vibaya marehemu ambaye hawezi kujitetea!, hivyo ki karma, kosa hilo ni kosa kama kosa la the consecration of the dead!.

Nimetoa ushauri huu, kufuatia baadhi ya viongozi wetu na wanasiasa wetu wa sasa ambao pia waliokuwepo awamu iliyopita na sasa wapo awamu hii, wakikosoa baadhi ya mambo ya awamu iliyopita, ambapo enzi hizo yakifanyika waliona na walinyamaza, sasa Mama anarekebisha mambo, ndio tunawaona sasa wakiibuka na kuanza kusema!.

Naendelea kusisitiza ile haki ya kuona kitu au kusikia kitu na kunyamaza, Swali la Morality: Je, ni lazima kuusema kila ukweli unaousikia au tutangulize mbele maslahi ya Taifa?
ukiisha amua kunyamaza, ni unanyamaza mpaka mwisho!, na sio ulinyamaza enzi zile uovu na udhalimu unafanyika, halafu sasa leo baada ya kuona Mama ana fanya mambo, ndio sasa na wewe ndio unaongea!. Karma itakutafuna!.

Ushauri kama huu pia niliwahi kuutoa kwa wanasiasa hama hama Angalizo kwa Wanasiasa hamahama; Japo ni haki yenu lakini msisahau fadhila. Kuweni watu wa shukrani, mtabarikiwa sana, vinginevyo karma Itawahusu!

Hitimisho
Nimalizie kwa lile swali la bandiko hili kwa viongozi na wanasiasa wetu wa awamu iliyopita ambao bado wapo kwenye awamu hii, kama waliuona udhalimu wowote wa awamu Iliyopita, na wakaunyamazia, is it right kuusema sasa kwenye awamu hii au kwa vile waliona na wakanyama, ni bora waendelee kunyamaza?.

Waseme au wanyamaze?
Paskali
Rejea za baadhi ya mandiko ya kukemea wakati wenyewe wangalipo.
KAKA MKUBWA HIZI NI CHEAP [OLITICS WANAJAJRIBU KUTUFANYA WAJINGA HATUELEWI KITU
 
Back
Top Bottom