swali kwa wadada na wakaka

The Boss

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2009
Posts
49,282
Reaction score
117,244
Kama nyinyi ni wakaka...mnaishi na dada yenu mwenye ajira yake
wote ni above 25 au hata above 30
lakini mnaishi nyumba ya familia bila wazazi.....

na nyinyi vidume mnaleta 'mizigo' na kubadili 'warembo'
bila kuulizwa na mtu.....

je siku dada yenu akileta 'mtu' mpaka asubuhi....mtafanyaje??????

na ikitokea 'mlivumilia' siku hiyo

akaja kuleta 'kidume' kingine mtafanyaje???

kumbuka dada yenu ni mkubwa na anajitegemea lakini...
nyumba ni yenu wote.....
 
aisee hii nishawahi kuiona ila mbilinge halikuwepo wala nini kila mtu na maisha yake,huwa kwenye kitengo cha mapenzi hawaingiliani,ila SHARTI ni lazima uje na kitu Bomba sio uje na kitu cha ovyo.ɟɟo ƃoןɐu
 
aisee hii nishawahi kuiona ila mbilinge halikuwepo wala nini kila mtu na maisha yake,huwa kwenye kitengo cha mapenzi hawaingiliani,ila SHARTI ni lazima uje na kitu Bomba sio uje na kitu cha ovyo.ɟɟo ƃoןɐu

nani aje na kitu bomba?
dada?????
 
Dada ndio anatakiwa aje na kitu bomba,sio aje na mgema ulimbo wanamtimua akijifanya ngangari wanamwitia mwizi.ɟɟo ƃoןɐu

lol...........
 
Mh!Kwa mazoea patakua hapatoshi lazima dada achezee kichapo.Lakini kwa kutumia akili mnakaa kimya na kutulia kimya kwani ni ngoma droo!Mbwa kamla Mbwa!
 
Mbona imeshatokea sana kwa kina Jane pale nanihii na wakaka wakafyata... Karibu na maj6
 

The Boss
Mlivumilia? How is it that sistee living her life how she sees fit, means kaka anavumilia????? Anyways I think depending on how close the people involved are kama kaka mtu ana mind, then he can and should mention.

Side note
Ila duh, I have two young bro's who, when I imagine being questioned by them re:" my love and/or s*x patners choices sipati picha kabisaaaaaaaaa........labda wangekuwa wakubwa wangu
 
Mh!Kwa mazoea patakua hapatoshi lazima dada achezee kichapo.Lakini kwa kutumia akili mnakaa kimya na kutulia kimya kwani ni ngoma droo!Mbwa kamla Mbwa!


kwa nini ale kichapo?
sio kwamba over 18 ni mtu mzima
na ana uhuru wa kujiamulia????au ndo mfumo dume?
 
The Boss kama ni mimi, wala hilo lisingenisumbua kabisa, kwani naamini kwamba dada yangu ni binadamu aliyekamilika na ana uhuru wa kuutumia mwili wake atakavyo, kama vile mimi ninavyoutumia mwili wangu nitakavyo.
 


vyovyote vile lengo langu hapa ni kuuliza
nimeona wapo wakaka hawana tabu kabisa....na hilo..
na nimeona wapo wakaka licha ya wao kutokuwa na ajira maalum
wanamtegemea dada yao,lakini dada yo haruhusiwi 'kuleta' kidume home...
hii kitu ipo saana..
 
The Boss kama ni mimi, wala hilo lisingenisumbua kabisa, kwani naamini kwamba dada yangu ni binadamu aliyekamilika na ana uhuru wa kuutumia mwili wake atakavyo, kama vile mimi ninavyoutumia mwili wangu nitakavyo.

wapo watu weengi kama wewe
na wapo weengi pia ambao
dada akileta kidume 'hapatoshi' lol
 
sidhani kama wakaka watavumilia kuona sisy wao analeta kama wao wanavyoleta! nimeona mara nyingi akina kaka huwa wana wivu na dada zao, dada anaweza asiwe na tatizo dhidi ya kaka zake labda ushauri mdogo mdogo pale kaka anapozidisha kubadili wanawake
 
kwanza kabisa mie ni great bliver kuwa no family member should bring shame to the family name.....sasa kaa huyu dada anaanza kuleta vidue humo ndani itapidi apewe kalipio kuwa hii tabi sio nzuri. sikatai wewe kuwa na bf but sio waja nae hapa home....utaleta wangapi?
nenda guest house au kwa huyo jamaa poa tuu but not hapa home
 
sidhani kama wakaka watavumilia kuona sisy wao analeta kama wao wanavyoleta! nimeona mara nyingi akina kaka huwa wana wivu na dada zao, dada anaweza asiwe na tatizo dhidi ya kaka zake labda ushauri mdogo mdogo pale kaka anapozidisha kubadili wanawake

wewe unaonaje?ni sawa au sio sawa kwa mdada kuwa huru
kubadili vidume home?
 

na wakaka je?nao waende guest?
 
Mh!Kwa mazoea patakua hapatoshi lazima dada achezee kichapo.Lakini kwa kutumia akili mnakaa kimya na kutulia kimya kwani ni ngoma droo!Mbwa kamla Mbwa!

Eiyer
Hivi miaka hii kuna kaka , especially wadogo wanaweza kuwapiga dada zao?Duh,,,,,,,,,,,,,,If there is basi lazima mimi nitakuwa naisha kwenye bubble!!??
 
wewe unaonaje?ni sawa au sio sawa kwa mdada kuwa huru
kubadili vidume home?


kwanza binafsi naona si sawa kubadili vidume si kwa home tu bali kimaadili si sawa! mtu anapaswa kutulia na mpenzi mmoja,kama imebidi basi kwa mdada kubadili ili atii kiu yake nadhani si vema kuonyesha kaka zake uchafu anaofanya maana ni kinyume na maadili,afanyie mbali tena ikibidi kwa siri basi dah!
 
na wakaka je?nao waende guest?
ndio nao lazima waende guest...kwa sababu tunashare hii nyumba basi lazima wote tukubaliane kuwa everybody ambaye anakuwa na gf/bf basi no sleeping hapa nyumbani....hapo hakuna mazungomzo.
 
Eiyer
Hivi miaka hii kuna kaka , especially wadogo wanaweza kuwapiga dada zao?Duh,,,,,,,,,,,,,,If there is basi lazima mimi nitakuwa naisha kwenye bubble!!??

nimewahi kwenda 'out' na mdada ambae ameongozana na kaka yake mdogo but over 18
twice....na ilikuwa first date lol...
tulikaa wote bar tunapiga story na kunywa...halafu muda wa kuagana...kaka akatangulia ili
tupate mda wa 'kuzungumza' lol..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…