Swali kwa waelewa wa sheria juu ya uwezo wa rais kuongoza

bunge linatakiwa liwe na nguvu juu ya rais, rejea sakata la korea kusini, lakini hapa kwetu spika mmoja ni mteule wa rais!
 
[emoji122] [emoji122] [emoji122]
 
Bunge hilihili la akina Tulia Ackson ?
Ndio hapo sasa, watanzania kazi tunayo sio ndogo. Bunge limethibitisha kuwa Lugumi hawajakamilisha their part of the contract na tayari wameshalipwa. Badala ya kuisimamia serikali kuhakikisha tunadai fidia, watu kuwajibika etc, eti linaipa Lugumi more time??? Bunge letu hopeless.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…