Swali kwa wafuasi wa Mbowe

Swali kwa wafuasi wa Mbowe

Kamundu

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
7,823
Reaction score
10,857
Je kwa nyakati hizi za sasa za Polisi, Usalama wa taifa wa kujihusisha moja kwa moja na chaguzi na kunyima demokrasia. Kuna mbinu gani tofauti Mbowe akiwa mwenyeti kwa miaka mitano atazitumia ambazo ni tofauti na mbinu alizozitumia kwa miaka 20?

Hii itasaidia kujua kusudi lake hasa la kugombea na sio kugombea kwa mazoea tu. Chadema lazima ibadilishe mbinu na kwa wale wanao taka Lissu achukuwe kijiti ni kwasababu wanafikiri Lissu atakuja na mbinu tofauti .

Sasa kwa wale wa Mbowe jibuni swali bila kumuingiza Lissu au kuweka mambo mengine jibuni swali la msingi
 
Walete majibu hapa na sio kugombea kwa mazoea tu bila kuwa na agenda yoyote inayojulikana.
 
Hapa ndiyo tatizo maneno mengi lakini tukiuliza maswali hakuna majibu
 
na kwa wale wanao taka Lissu achukuwe kijiti ni kwasababu wanafikiri Lissu atakuja na mbinu tofauti .
Ameshakuambia ni mbinu gani mpya atakuja nazo, tofauti na zile tunazozijua za kutaka kuleta machafuko nchini na yeye akimbie kwenda nje?
 
Mshauri mkuu wa Mbowe ni Yericko Nyerere😆😆😆😆
 
Je kwa nyakati hizi za sasa za Polisi, Usalama wa taifa wa kujihusisha moja kwa moja na chaguzi na kunyima demokrasia. Kuna mbinu gani tofauti Mbowe akiwa mwenyeti kwa miaka mitano atazitumia ambazo ni tofauti na mbinu alizozitumia kwa miaka 20?

Hii itasaidia kujua kusudi lake hasa la kugombea na sio kugombea kwa mazoea tu. Chadema lazima ibadilishe mbinu na kwa wale wanao taka Lissu achukuwe kijiti ni kwasababu wanafikiri Lissu atakuja na mbinu tofauti .

Sasa kwa wale wa Mbowe jibuni swali bila kumuingiza Lissu au kuweka mambo mengine jibuni swali la msingi
Mbowe hata sera Hana, dah mpaka aibu😂😂
 
Back
Top Bottom