Swali kwa wajuzi wa Kiswahili:"executioner" inatafsiriwa vipi Kiswahili.

Swali kwa wajuzi wa Kiswahili:"executioner" inatafsiriwa vipi Kiswahili.

Poppy Hatonn

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2021
Posts
3,095
Reaction score
4,632
Mtu anayefanya kazi ya Mahakama ya kunyonga watu,anaitwa vipi? Jina lake limenitoka. Najiuliza miaka kumi sasa. (Kiswahili anaitwa vipi)." The hangman",siyo "assassin", just the hangman,anaitwa vipi Kiswahili?
Naona tafsiri hapa;"mchinjaji","mnyongaji". Certainly ni "mchinjaji" na "mnyongaji",lakini lipo neno lingine.
 
Nasikia kuna Mnyongaji Mkuu wa Serikali
Ss sijui kama kweli au la
 
Back
Top Bottom