Swali kwa Wakenya: Bado mnamhitaji Magufuli awe Rais wenu?

Nibozali

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2016
Posts
572
Reaction score
1,055
Mwanzoni kelele za Wakenya zilikuwa kwamba wanatamani Magufuli aende kuwa Rais ingawa Watz wao hali ilikuwa tofauti!

Je , Wakenya wakiulizwa Sasa bado wana majibu yaleyale au wamebadili gia angani?
Wandishi WA habari pamoja na watu mlioko Kenya nisaidieni kuwahoji Wakenya
 
Kukurupuka kwa waafrika, mbuzi mbuzi!
 
Kosa la Rais Magufuli kwa Wakenya liko wapi?

Bila shaka kichwa chako kinaongozwa na njia ya haja kubwa!. Hakuna mtu mwenye kichwa atashindwa kuelewa swali la mtoa mada. Ni mpumbavu pekee asiye haya, ndiye anayeweza kudiriki kuuliza swali la kipumbavu linalomdhalilisha na kudhihirisha kumbe hata moyo wake uko tumboni! Idiot!
 
“Kenya-Tanzania relations are longstanding, rich and complex and should not be jeorpadised by a hardening of positions over minor issues that can be easily resolved through candid and open dialogue,” Kenya's Foreign Affairs Political and Diplomatic Secretary Tom Amollo is quoted as having told Pindi during the meeting in Nairobi Read more: Kenyan govt angry after Magufuli burns over 6,000 chicks,sells cattle confiscated from Kenyan herders
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…