Kukurupuka kwa waafrika, mbuzi mbuzi!Mwanzoni kelele za Wakenya zilikuwa kwamba wanatamani Magufuli aende kuwa Rais ingawa Watz wao hali ilikuwa tofauti!
Je , Wakenya wakiulizwa Sasa bado wana majibu yaleyale au wamebadili gia angani?
Wandishi WA habari pamoja na watu mlioko Kenya nisaidieni kuwahoji Wakenya
Upende usipendo ndo Rais hadi 2025Ninamkumbuka mzee kingunge alisema huyu alistahili kuwa mnyampala wa Barabara na si vinginevyo sasa yametimia
Upende Usipendo ndio nani huyo?Upende usipendo ndo Rais hadi 2025
2025?? Miwili hii tuu noma, mpaka anasema "nilisukumiziwa' unazani mchezo?Upende usipendo ndo Rais hadi 2025
Kosa la Rais Magufuli kwa Wakenya liko wapi?
Nini mwaka 2025, awe hata hadi 2050 lakini ndio hivyo Tanzania has a WORST Leader of its kind..Upende usipendo ndo Rais hadi 2025
“Kenya-Tanzania relations are longstanding, rich and complex and should not be jeorpadised by a hardening of positions over minor issues that can be easily resolved through candid and open dialogue,” Kenya's Foreign Affairs Political and Diplomatic Secretary Tom Amollo is quoted as having told Pindi during the meeting in Nairobi Read more: Kenyan govt angry after Magufuli burns over 6,000 chicks,sells cattle confiscated from Kenyan herdersMwanzoni kelele za Wakenya zilikuwa kwamba wanatamani Magufuli aende kuwa Rais ingawa Watz wao hali ilikuwa tofauti!
Je , Wakenya wakiulizwa Sasa bado wana majibu yaleyale au wamebadili gia angani?
Wandishi WA habari pamoja na watu mlioko Kenya nisaidieni kuwahoji Wakenya