Swali kwa Wakenya: Bado mnamhitaji Magufuli awe Rais wenu?

Wapiga dili ndio hawampendi,mfano Watumishi wa umma wamejazwa pesa mwezi huu lazima wampende
 
ukisikia upumbavu huu ndiyo namba moja. wee unafikiri JPM ana muda wa trivial issues kama vifaranga.

kwanza kama JUBILEE ndiyo walioongea hii kauli, nawapa pole wakenya.
Chezea Jubilee wewe. Ukidhani ndo umewaweza hesabu na karata zilichapwa kitambo wewe ndo utaambulia patupu. Hehe anaitwa Uhunye.
 
Aise mtupe simba Magufuli tuwape uhuru Kenyatta
Punguza mirungi kijana, baada ya kupambana na wanamgambo feki wafuasi wa RAO uchaguzi miezi karibia miwili. Unadhani tulimchagua kimzahamzaha? 1 Uhuru Kenyatta= 15 Magufulis, tz watabaki na deni letu.
 
Punguza mirungi kijana, baada ya kupambana na wanamgambo feki wafuasi wa RAO uchaguzi miezi karibia miwili. Unadhani tulimchagua kimzahamzaha? 1 Uhuru Kenyatta= 15 Magufulis, tz watabaki na deni letu.
Uhuru mvutaji bangi..muuaji..mfisadi..sijaskia amekemea ama kuwasimamisha kazi wafisadi kama Simba Magufuli
 
 

Attachments

Uhuru mvutaji bangi..muuaji..mfisadi..sijaskia amekemea ama kuwasimamisha kazi wafisadi kama Simba Magufuli
Tembea kwenu Somaliyaa uone Uhuru alivowasaidia. Siku hizi hata maji ya kuchambia baada ya kushiba Ugali wa Kenya mnapata jombaa.
 
huwa namwonea huruma yule profesa w akikenya mwenye utapiamlo na anayejua theory kuliko practice za sheria. ndo maana muda wote mimi huwa naamini maprofesa ni wanadamu ambao ugongo wao kidogo una matatizo. huwa hawaishiwi vituko.
 
Uhuru kenyatta ukiangalia macho Ake vizuri hafai.chai yake ni pombe
 

Aisei hivyo video, nimecheka sana asante....
 
Nadhani ni rais mzuri ila aboreshe zaidi. Anataka kufanya vitu vingi vya maendeleo kwa wakati mmoja hivyo watu kuumia! Vyuma vimebana hakuna mfano! Ila akakuja kusifiwa zaidi na kizazi kijacho kwenye historia! Wa Leo wanakamuliwa kwa manufaa ya wa kesho! Standard gauge rail, fly over junction roads, viwanja vya ndege, bandari Mpya , ndege Mpya, mabasi ya mwendo kasi, makao makuu kuhamia Dodoma etc! Yote haya anayafanya kwa wakati mmoja! Wafanyakazi maumivu na wafanyabiashara maumivu pia! Nadhani Sera yake ni ya kupaa wakati wengine wanatembea ili kufidia wakati uliopotea wakati tulikuwa tumelala wakati wengine wanakimbia! Ni maumivu lakini twende tu!
 
Abeee? Magu mbona pia tu...... MTU wa kazi Kaleta Dawa ya wasio lipa kodi. Masho........
 
He is not welcome to bring his one track approach here
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…