Swali kwa walevi wa kahawa!

No Escape

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2016
Posts
6,663
Reaction score
7,785
Kwa walevi wenzangu wa kahawa...kwa kweli nateseka sana kisaikolojia bila sababu.
1.Hivi kwa nn vikombe vya kahawa vidogo namna hii
2.Na je kwa nn vikombe havina mikono
3.kwani muuza kahawa lazima akusimamie tena anakutumbulia mimacho,kwa nn asiende mbali kama wauza bia
4.Hivi hii kahawa yetu huku Tanzania mbona kama uchungu umezidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…