Swali kwa walimu wa serikalini wenye uzoefu

Swali kwa walimu wa serikalini wenye uzoefu

ms babysitter

Member
Joined
Nov 2, 2014
Posts
55
Reaction score
5
SALAAM,

Swali langu ni je mhitimu wa ngazi ya shahada katika fani ya elimu anaweza kupata post ya ajira hata kama bado hajakamilisha vizuri masomo yake? Namaanisha labda bado ana supplimentary au carry?

Msaada kwa wenye ufahamu tafadhalini!
 
kila mwaka utaratibu unabadirika kutokana na mahitaji siku za nyuma hata ukiwa na carry over ulikuwa unaajiriwa then muda wa kusoma ukifika unapewa ruhusa, baadae wakawa wanaajiri wenye sup na si carry hii nimeishuhudia mpaka 2014/2015.sasa wamesema hawana shida kubwa na walimu kwa sasa hasa wa sayansi ya jamii hivo wataajiri wachache kuziba mapengo.je hapo mwenye carry au sup ategemee?

TAFAKARI CHUKUA HATUA
 
Back
Top Bottom