Adhabu ya kifo iendelee tu mkuu! Nasema iendelee maana kuna binadamu wengine kwenye kufanya ualifu ni zaidi ya shetani ambao kiukweli ukisema aende jela maisha bado haisaidii. Mfano majambazi wavamia kwako nakukuta wewe na familia yako na mama mkwe,let say una binti zako wawili wa darasa la saba na mwingine kidato cha kwanza.... Katika kuvamiwa unaamrishwa utoe pesa kwakuhofia usalama wa familia yako... haijakaa sawa wanawabaka watoto,mke,pamoja na mama mkwe na wewe pia usjitoe na ufedhuli huo unafanywa mbele ya familia yako. Kama haitoshi wanafanya mauaji mbele yako.... then hao watu wanakamatwa na vyombo vya dola! Em niambie watu hao magereza tu ndo itakuwa suluhisho???